Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
unakuta home in itilima ndani ndani hukoNenda kwenu tu.
Ukute sasa shemeji ni mhaya halafu anafanya kinyumbani ili chumbani kuwe na bomba. Unajua ili kinyumbani mwanamke hawezi kunyamazaShujaa ni aliyelala stand na akafanikiwa na leo ana kwake. Wa kwa shemeji anapewa mpaka shuka la kutandika ushujaa unatoka wapi? Ukute na msosi wa mchana huwa anakula.
[emoji23][emoji23][emoji23] tunaita "Kupiga".Ukute sasa shemeji ni mhaya halafu anafanya kinyumbani ili chumbani kuwe na bomba. Unajua ili kinyumbani mwanamke hawezi kunyamaza
Mi ningekuwa shemeji yako, ungefua boxer mpaka mikono inukeMNATAKA AONDEKE MNATAKA AENDE WAPI NA MJINI ANA ANAEMJUA ARUDI KIJIJINI AMBAPO NI MISUNGWI HUKO VIJIJINI LABDA NO CONNECTION KABISA
MZEE KAA HAPO FANYA JUU CHINI UNANYUKA HARAKA UNASEPA
Unajua mkuu duniani wako watu hawajui maisha magumu Yale ya chini ya maskini haswa mtu anakuwa hana alternative na akili imestack sio kila MTU ni mpambanaji, halafu sio kila kijiji kina fursa mtu anaropoka rudi kijijini jamani kuna ile huna kitu hata mia unabangaiza vocha na vibukubuku siku hizi hata koroga zege ni connection hivyo tusihukumu kirahisi mjini kuna urahisi kutoka hata kazi tofouti na kijijini.MNATAKA AONDEKE MNATAKA AENDE WAPI NA MJINI ANA ANAEMJUA ARUDI KIJIJINI AMBAPO NI MISUNGWI HUKO VIJIJINI LABDA NO CONNECTION KABISA
MZEE KAA HAPO FANYA JUU CHINI UNANYUKA HARAKA UNASEPA
Una umri gani ndugu?Kuishi Kwa Shemeji Ukisubiri Mchongo Ni Ushajaa Lakini Kuishi Kwa Shemeji Na Unalala Sebuleni Huu Ni Zaidi Ya Ushujaa Na Uvumilivu
Imagine Mpaka Dada,Na Shemeji Yako Wamalize Kuangalia Tamthilia Sebuleni Ili Waende Chumbani Ndipo Na Wewe Utandike Ulale Na Asubuhi Uwahi Kuamka [emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi kiongozi!!Unajua mkuu duniani wako watu hawajui maisha magumu Yale ya chini ya maskini haswa mtu anakuwa hana alternative na akili imestack sio kila MTU ni mpambanaji, halafu sio kila kijiji kina fursa mtu anaropoka rudi kijijini jamani kuna ile huna kitu hata mia unabangaiza vocha na vibukubuku siku hizi hata koroga zege ni connection hivyo tusihukumu kirahisi mjini kuna urahisi kutoka hata kazi tofouti na kijijini.
Ila cha msingi kukaa kwa shemeji sio kabisa bora utafute ndugu mwingine ase na sio ukae tu chora ramani uondoke fasta hata nyumbani ukifika 25 chapa lapa kapambane utaheshimika
Kuishi Kwa Shemeji Ukisubiri Mchongo Ni Ushajaa Lakini Kuishi Kwa Shemeji Na Unalala Sebuleni Huu Ni Zaidi Ya Ushujaa Na Uvumilivu
Imagine Mpaka Dada,Na Shemeji Yako Wamalize Kuangalia Tamthilia Sebuleni Ili Waende Chumbani Ndipo Na Wewe Utandike Ulale Na Asubuhi Uwahi Kuamka [emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sehemu muhimu ya maisha ili siku ukipata ukumbuke njia uliyopitaKuishi Kwa Shemeji Ukisubiri Mchongo Ni Ushajaa Lakini Kuishi Kwa Shemeji Na Unalala Sebuleni Huu Ni Zaidi Ya Ushujaa Na Uvumilivu
Imagine Mpaka Dada,Na Shemeji Yako Wamalize Kuangalia Tamthilia Sebuleni Ili Waende Chumbani Ndipo Na Wewe Utandike Ulale Na Asubuhi Uwahi Kuamka [emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app