Ni maisha tu nayo yanapita, mie nimeshalala sana Sebuleni

Ni maisha tu nayo yanapita, mie nimeshalala sana Sebuleni

Halaf unakuta shemeji akirudi kazini jioni anavaa msuli anakaa sebleni anakutuma ukamnunulie Katanga, mihogo, pweza n.k zimsaidie usiku..
Mkuu una moyo sana.
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Halafu eti tunalalamika wachina sijui wabaguzi,sijui wazungu wanabagua ngozi nyeusi,Pumbafu kabisa.

Yaani ss hv mtu akimuoa dada yako anageuka adui kwann??

Waafrika kuna mahali tulirogana si bure,mbona angekuwa mtu baki tu wa kumuokota road watu wanaishi naye kwa kumlaza sebuleni ila akiwa mdogo wa upande wowote a.k.a shemeji basi status inabadilika???

Ushauri; Wake na waume wachukulieni wadogo zenu km ndugu zenu msiwanyanyase maishavni safari.

Wadogo mnaosaidiwa acheni kujenga ma mentality ya kichawi thaminini msaada mnaopewa ikiwa ni pamoja na kuyaelewa mazingira na nafasi za ndugu zenu haya yote yatakuwa hayapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom