MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Yanga leo wametambulisha top striker kutoka Zambia Kennedy Musonda ambaye pia ndio kinara wa magoli ligi ya Zambia.
Wapinzani wetu wamesajili mshambuliaji hatari na mbadala wa Fiston Mayele lakini ni vizuri tuwakumbushe kuwa huyu Musonda ni msimu huu ndio aliofanya vizuri na hatuwezi hata kujaribu kumfananisha na Moses Phiri ambaye amekuwa mmoja wa vinara wa magoli wa ligi ya Zambia mara kadhaa.
Sasa mashabiki wa Kibongo msishangae aka floppy huyo Musonda msiamini kama mlivyofikiri kwa Kambole. Pia msipende kufananisha wachezaji kienyeji, Moses Phiri si level ya Musonda hata kidogo. Phiri ni mchezaji hatari kwasasa kwenye ligi yetu na ame prove hilo tayari.
Musonda hana rekodi zaidi ya kuongoza kufunga kwenye ligi ambayo bado mbichi na tena msimu huu ndio kafanya vizuri, hana rekodi zaidi ya hii.
Uto tulieni acheni kelele nyingi na vi clip viwili tu vya Musonda visivyo na tija [emoji1787]
#nguvumoja
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Yanga leo wametambulisha top striker kutoka Zambia Kennedy Musonda ambaye pia ndio kinara wa magoli ligi ya Zambia.
Wapinzani wetu wamesajili mshambuliaji hatari na mbadala wa Fiston Mayele lakini ni vizuri tuwakumbushe kuwa huyu Musonda ni msimu huu ndio aliofanya vizuri na hatuwezi hata kujaribu kumfananisha na Moses Phiri ambaye amekuwa mmoja wa vinara wa magoli wa ligi ya Zambia mara kadhaa.
Sasa mashabiki wa Kibongo msishangae aka floppy huyo Musonda msiamini kama mlivyofikiri kwa Kambole. Pia msipende kufananisha wachezaji kienyeji, Moses Phiri si level ya Musonda hata kidogo. Phiri ni mchezaji hatari kwasasa kwenye ligi yetu na ame prove hilo tayari.
Musonda hana rekodi zaidi ya kuongoza kufunga kwenye ligi ambayo bado mbichi na tena msimu huu ndio kafanya vizuri, hana rekodi zaidi ya hii.
Uto tulieni acheni kelele nyingi na vi clip viwili tu vya Musonda visivyo na tija [emoji1787]
#nguvumoja
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app