Ni mambo gani hutakiwi kumshirikisha mpenzi wako, hata iweje?

Ni mambo gani hutakiwi kumshirikisha mpenzi wako, hata iweje?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mimi huwa najikuta very uncomfortable kushare mambo au shida za familia kwa mwenzangu hata kama mara nyingine anasisitiza naona kama kuna siku tukikwazana he will use that against me. Japo yeye anasisitiza kuwa tunatakiwa kusaidiana kwenye shida na raha lakini bado sijashawishika na hii kauli kwa kweli.

Kitu kingine ninachokificha kwake na kwa watu wangu wa karibu ni kipato nnachoingiza aisee yaani siwezi kusema nalipwa shilingi ngapi au kama ni biashara inaniingizia kipato kiasi gani. Mimi naona mambo mengine tubakigi nayo tu. Unakuta mtu anakiherehere cha kujua kila kila kitu hadi kuna muda nakwazika.

Wadau ni vitu gani huwezi kumshirikisha mwenza wako?
 
Mimi huwa najikuta very uncomfortable kushare mambo au shida za familia kwa mwenzangu hata kama mara nyingine anasisitiza naona kama kuna siku tukikwazana he will use that against me. Japo yeye anasisitiza kuwa tunatakiwa kusaidiana kwenye shida na raha lakini bado sijashawishika na hii kauli kwa kweli.

Kitu kingine ninachokificha kwake na kwa watu wangu wa karibu ni kipato nnachoingiza aisee yaani siwezi kusema nalipwa shilingi ngapi au kama ni biashara inaniingizia kipato kiasi gani. Mimi naona mambo mengine tubakigi nayo tu. Unakuta mtu anakiherehere cha kujua kila kila kitu hadi kuna muda nakwazika.

Wadau ni vitu gani huwezi kumshirikisha mwenza wako?
Kama ni mchumba tu, akijua jina langu na pengine akibahatika kujua ninapokaa basi inatosha... mke au mume ni your partner so lazima kuna vitu avijue na pia hii inatakiwa uujue uwezo wake wa kuhifadhi na kuhandle mambo, kwahiyo unampa vile ambavyo viko ndani ya kipimo ulichompimia vingine havinuhusu.

Na kwa sisi wanaume swala la kipato huwa sio vyema saaana kujiachia kwa hata mke wa ndoa kwa maana atakua anakupimia hata uwezo wako wa kukabiliana na changamoto ila as a man mkeo anatakiwa asikudefine kabisa kwenye engo ya kipato, siku mkiwa kwenye shida ambayo hata yeye anakua na hisia za kwamba hutoweza kuitatua then ghafla anaona unaisolve paaap hapo ndio uanaume unazidi kutukuka kwa huyo mke.
 
Namwambia kila kitu
Hadi id yako ya JF ?
1000012551.jpg
 
Mimi huwa najikuta very uncomfortable kushare mambo au shida za familia kwa mwenzangu hata kama mara nyingine anasisitiza naona kama kuna siku tukikwazana he will use that against me. Japo yeye anasisitiza kuwa tunatakiwa kusaidiana kwenye shida na raha lakini bado sijashawishika na hii kauli kwa kweli.

Kitu kingine ninachokificha kwake na kwa watu wangu wa karibu ni kipato nnachoingiza aisee yaani siwezi kusema nalipwa shilingi ngapi au kama ni biashara inaniingizia kipato kiasi gani. Mimi naona mambo mengine tubakigi nayo tu. Unakuta mtu anakiherehere cha kujua kila kila kitu hadi kuna muda nakwazika.

Wadau ni vitu gani huwezi kumshirikisha mwenza wako?
Kwa mpenzi basic information inatosha tu, ila vingine ni hadi akija kuwa mke wa ndoa.
 
Kama mtu humuamini kiasi cha kitokumshirikisha kipato basi usioane naye.
Maana kwa mfano unamwambia mwenzi wako kuwa unapokea mshahara
Mume= laki 3 badala ya milion 1 labda. Huoni kama hamtaweza kupanga malengo kulingana na kipato? Yani hapo unamdanganya nani?
Hiyo kufichaficha huwa mnaenda mbali mtu anajenga mpaka nyumba kwa kificho halafu Mungu anakuita wakati mwenzi wako hajui kama ulijenga sehemu. Mtakuja kupoteza assets bila sababu za msingi....
Mke naye akijua kuna pesa unamficha...naye anaanza kuficha au kujenga kwao yani sasa mume anafichia huku mke naye anafichia kule....Wajinga wawili mnashindana kutawanya mali na mwisho mkifa watoto wadhulumiwa mali zenu...ovyo kabisa
 
kitu ambacho hapaswi kukifahamu ni;
Φ kipato changu.
Φ Mshahara wangu.
Φ Pesa zangu.
Φ kiasi cha Hela zangu.
Φ Fedha zangu.
Φ Mkwanja wangu nk...
 
Moyo ni kichaka wallah, wife akijua ninavyopenda flirting naweza kuta divorce papers kesho.

Ila mengi ya kuhusu kazi na kipato anajua...though ramani yote hawezi kupata...its suicidal!
 
Kama mtu humuamini kiasi cha kitokumshirikisha kipato basi usioane naye.
Maana kwa mfano unamwambia mwenzi wako kuwa unapokea mshahara
Mume= laki 3 badala ya milion 1 labda. Huoni kama hamtaweza kupanga malengo kulingana na kipato? Yani hapo unamdanganya nani?
Hiyo kufichaficha huwa mnaenda mbali mtu anajenga mpaka nyumba kwa kificho halafu Mungu anakuita wakati mwenzi wako hajui kama ulijenga sehemu. Mtakuja kupoteza assets bila sababu za msingi....
Mke naye akijua kuna pesa unamficha...naye anaanza kuficha au kujenga kwao yani sasa mume anafichia huku mke naye anafichia kule....Wajinga wawili mnashindana kutawanya mali na mwisho mkifa watoto wadhulumiwa mali zenu...ovyo kabisa
Mke/mume anapaswa kujua vitu muhimu vyote.Kufanya mambo "kichawichawi" utaacha familia masikini.Ndiyo unasikia mtu kaokota nyumba,unashangaa.Kumbe kuna watu walikua wanaijua siri ya ujenzi kwa kificho.
 
Back
Top Bottom