Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani alikuwa mpakuwaji?Nilishuhudia PAROKO anapakuliwa YAS.
Cc: The Mongolian Savage Extrovert Kijana masikini Dogoli kinyamkela Mbaga Jr
Halafu sisi tunaambiwa tusiombe kwenye makabuli ya kwetu.Mkuu mkaa unawekwa kwenyw chungu kutokana na chetezo kutotosha mkaa uho kisha umwaga ubani ndani ya mkaa ukisema watumie chetezo mpaka ibada iishs moto utazim san
Kuhusu mifupa ni mifupa ya watakatifu ni njia moja wapo ya kuungana nao katika sala zao
Kanisa jipya likijengwa huwa pale Altareni panawekwa vitu ambavo huwa n msingi wa kanisa sijajua kwa Catholic ila Lutheran wanachimbia.Hii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.
Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia
Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.
Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.
Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.
Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.
Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.
Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?
Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Mwenyekiti wa jumuiya ndio alikuwa mfukuaji🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani alikuwa mpakuwaji?
Miaka 2025 ni michache sana kwa maisha ya hapa duniani.Kama ni Mkristu waweza kuwa Mkatoliki au Mprotestanti, period. Tuacheni Wakatoliki na imani yetu. Hili ndilo kanisa aliloliacha Yesu Kristu na hili ndilo atakalolikuta siku ya mwisho baada ya ufufuo. Wewe ndiye Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu (Mathayo 16:18)
Hatubishani na mtu, wala hatuogopi matusi yenu. Kanisa lina miaka 2025, na lina waumini 1.4 Bilioni duniani kote ambayo ni 20% ya watu wote duniani. Dunia ina watu Bilioni 7 kwa sasa. Ina maana kila ukikutana na watu watano duniani, mmoja wao ni Mkatolili
Mbona hata akina Maria Magdalena walikwenda kaburini siku ya tata baada ya mwili wa Yesu kuzikwa kwa lengo la kuupaka mwili wake mafuta na uvumba?Ndugu yangu alimkuta mchungaji na mke wake wanaroga kanisani (alikua anaenda ibada ya usiku - walokole) walivomuona wakamwambia usije kanisani hadi zipite siku 7 na usimwambie mtu yeyote haya uliyoyaona hapa, akahisi wanatania.
Kesho kutwa yake alienda kanisani (ilikua ijumaa wanakati wanaroga, jumapili akaenda ibada ya jumapili), alivotoka kanisani akawa mwehu ghafla, akawa anakimbia kimbia tu hadi akaanza kusahau watoto, akafungwa kamba na kuanza kuombewa (mme wake alikua hajui chanzo ni nini). Wamehaingaika nae kwa muda mrefu, ikabidi apelekwe kwa waganga wa kienyeji, alikuja kupata unafuu baada ya miaka miwili mbele ndiyo kusimulia yote.
Uzuri ananyonywa yeye na vibinti🤣🤣Atakunyonya sana damu Bro
Mifupa ya hao watakatifu huwa imehifadhiwa wapi?Mkuu mkaa unawekwa kwenyw chungu kutokana na chetezo kutotosha mkaa uho kisha umwaga ubani ndani ya mkaa ukisema watumie chetezo mpaka ibada iishs moto utazim san
Kuhusu mifupa ni mifupa ya watakatifu ni njia moja wapo ya kuungana nao katika sala zao
Hauna haja ya kufanya huo UPUZI JINA LA YESU LATOSHA KUTOA LAANA NA MIKOSI YOTEHii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.
Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia
Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.
Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.
Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.
Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.
Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.
Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?
Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Hii kamba mamayeNilishuhudia PAROKO anapakuliwa YAS.
Cc: The Mongolian Savage Extrovert Kijana masikini Dogoli kinyamkela Mbaga Jr
Je dhehebu lako unalohubiriwa na mitume FEKI lina miaka mingapi?Miaka 2025 ni michache sana kwa maisha ya hapa duniani.
Paroko akipakuliwa Yas na wewe ulikuwa unapakuliwa TigoNilishuhudia PAROKO anapakuliwa YAS.
Cc: The Mongolian Savage Extrovert Kijana masikini Dogoli kinyamkela Mbaga Jr
Sio kweliSuala la kuzika waanzilishi ndani ya kanisa siyo kwa wakatoriki tu hata waislam wanafanya hivyo.
4.3 billioniJe dhehebu lako unalohubiriwa na mitume FEKI lina miaka mingapi?
Wewe ni dini gani au dhehebu gani?4.3 billioni
Sisi tuna miaka 200,000
We are star dust
Makanisa yote yapo hivyo. Na hata ukitaja wala siyo dhambi coz hayo yanajulikana. Mfano kanisa la mt Antony wa padua. Maana yake masalia yake yapo hapo na yapo pale altareni. Lengo kubwa ni kuwa kanisa hilo limepewa ulinzi wa mt. Husika. So usiogope na wala siyo ushirikina ni imani.Kwa kifupi Mimi kwenye kitu nilichoshuhudia Huwa sihitaji debate otherwise ningekuwa nimesimuliwa na hiki ndo nilichoona na kusikia pale kama unataka USHAHIDI/ uthibitisho njoo pm nikuambie kanisa lilipo uende ukafukue kama utarusiwa ushuhudie kilicho zikwa hapo kama ni makapi au kope za marehemu.
Hii ya kuweka biblia ni nzuri maana inachakachuliwa sanaKanisa jipya likijengwa huwa pale Altareni panawekwa vitu ambavo huwa n msingi wa kanisa sijajua kwa Catholic ila Lutheran wanachimbia.
1. Biblia
2. Historia ya kanisa Ya dunia na ya eneo husika.
3. Majina ya walioanzisha huo usharika.
Na mambo mengine ili hata siku hizi document zimepotea wataweza kuzikuta pale.
Makanisa ya zaman pale ataren hadi vito vya thaman walivizika ila kuweka Maiti iyo mpya
Umeeleza vizuri mkuu kuliko wale wenye jazba zao na msongo wa mawazo.Makanisa yote yapo hivyo. Na hata ukitaja wala siyo dhambi coz hayo yanajulikana. Mfano kanisa la mt Antony wa padua. Maana yake masalia yake yapo hapo na yapo pale altareni. Lengo kubwa ni kuwa kanisa hilo limepewa ulinzi wa mt. Husika. So usiogope na wala siyo ushirikina ni imani.
Ni nadra kuona kwasababu makanisa hayajengwi kila siku. Mfano kanisa Bikira Maria Consolata mshindo lina miaka zaidi 60. Mtoto aliyezaliwa maeneo ya mshindo hadi atakufa haji kuona kutabaruku kwa kanisa Coz hawana mpango wa kujenga jingine
Ipo Hivi Mtu Akishatangazwa Kuwa Mtakatifu Masalio Yake Yanafukuliwa Na Kwenda kuifaziwa Sehemu...Umeeleza vizuri mkuu kuliko wale wenye jazba zao na msongo wa mawazo.
Nina swali dogo hapa kwahiyo ile mifupa(masalia) ya huyo Mt huwa ynafukuliwa na kutunzwa hadi pale itakakpohitajika au kila ikihitajika wanenda kufukua? Maana yake hata nyerere wakihitaji kujenga kanisa Mt julius Watachukua baadhi ya masali?
Samahani lakini.
Sawa vipi kuhusu nyerere?Ipo Hivi Mtu Akishatangazwa Kuwa Mtakatifu Masalio Yake Yanafukuliwa Na Kwenda kuifaziwa Sehemu...