Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #41
Sina huo muda. Hii sio simba wala yanga kwa yale niliyoyasema yanatosha kabisa.Vinginenvyo njoo nikupeleke sehemu husika ukamuulize parokoNdio maana nikasema katupiga kamba akitaka aseme yote aliyoyaona na kushuhudia
Siyo lazima uhakikishe ukitaka kuhakikisha njoo nikupeleke parokianiOngeza vitu tuhakikishe
Nimekuelewa mkuuDini zinafanya mambo ya kishirikina lakini zina assume ni utakatifu.
Ukifanya wewe hivyo, Utaitwa mshirikina.
Kama huamini kaa hivyohivyo....Hilo Kabisa halina Jina ? Kama ilitokea kweli Kwa Nini unaficha jina la Kanisa ?? Ilikuwa Siri ??...
Umalaya uacheAm proud to be Muslim
Ndio ndio kubabek zake kakamatikaNipo kwenye tamasha la hawa manabii mkoa fulani.
Kuna jamaa amekalia wheelchair huku amejifunika na blanketi.
Nabii akaanza kukemea huku akimsogelea jamaa.
"NINASEMA TEMBEA"
"SHETANI UMESHINDWA, INUKA UTEMBEE"
Yule jamaa hanyanyuki kwenye wheelchair anamuangalia Nabii.
Nabii akasogea kwa nguvu akanyanyua blanketi kwa nguvu huku anakemea kwa mwendo uleule.
Turns out jamaa ni amekatika miguu.
Nabii kashikilia blanketi hajui alifanye nini
Waelimishe sasa jinsi kanisa linavyo tabarukiwaHujui kitu muwe mnauliza muelimishwe
Ulichokisema ni sahihi kutabaruku kiswahili kilinichenga. Wala sijazunguka kabisa nimeenda direct huenda wewe ndo umeona nimezunguka nami naona nipo direct.Umezunguka sana lakini hapo unamaanisha RC.
Kwanza hakuna kitu kinachoitwa kusimika au kuzindua kanisa.Na masalia yanayowekwa sio ya muanzilishi wa kanisa maana muasisi wa kanisa ni Yesu mwenyewe alipomuambia Petro ya kwamba atalijenga kanisa lake juu yake.
Tukio unalosema ni kutabaruku kanisa.Maana yake ni kuliweka wakfu jengo hilo na kulitenga mbali na shughuli nyingine za kidunia/kijamii ili litumike tu kwa ajili ya sadaka ya ibada takatifu ya misa.
Ubani unawekwa katika chungu na kufukizwa juu ya altare (meza ile ya kutolea dhabihu)ishara ishara ya kupatakatifuza na kumsihi Mungu ya kwamba sadaka zitakazotolewa hapo zipae kwake juu na harufu nzuri ya kumpendeza kama moshi huo wa ubani.Kadhalika husuguliwa kwa mafuta matakatifu ishara ya kupatakasa.
Unayosema mifupa ililetwa sina hakika kama uliiona mifupa kwasababu huwa sio mifupa haswa bali chembe ndogo sana ya masalia ya huyo mtakatifu aliyewekwa kuwa msimamizi wa kanisa mahalia.Kwa imani yetu sisi wakatoliki watakatifu wanao uwezo wa kutuombea kwa Mungu ndio maana tuna litania ya watakatifu.Hivyo kuweka alama yake katika kanisa husika ni ishara ya kukabidhi usimamizi wa kanisa husika kwake.
NB kwa maelezo ya mleta mada ninathubutu kusema sio mkatoliki maana naona hajui kila kitu.
Mifupa wameichimbia aritaleni au wamekuja kuionyesha artaleni?Ulichokisema ni sahihi kutabaruku kiswahili kilinichenga. Wala sijazunguka kabisa nimeenda direct huenda wewe ndo umeona nimezunguka nami naona nipo direct.
Ni mifupa sio masalia ikumbukwe kuna hadi cd zitatoka hivi karibuni( Huenda tiyari ipo)
Jamhuri ya CzechHii ni wapi?
Sasa hivi jamaa kakaa vizuri kabisa au bado anasumbua?Ningelitaja hilo kanisa ila basi tu, ni maeneo ya LUSHANGA - GEITA.
Unayosema mifupa ililetwa sina hakika kama uliiona mifupa kwasababu huwa sio mifupa haswa bali ~chembe ndogo sana ya masalia ya huyo mtakatifu aliyewekwa~ kuwa msimamizi wa kanisaUmezunguka sana lakini hapo unamaanisha RC.
Kwanza hakuna kitu kinachoitwa kusimika au kuzindua kanisa.Na masalia yanayowekwa sio ya muanzilishi wa kanisa maana muasisi wa kanisa ni Yesu mwenyewe alipomuambia Petro ya kwamba atalijenga kanisa lake juu yake.
Tukio unalosema ni kutabaruku kanisa.Maana yake ni kuliweka wakfu jengo hilo na kulitenga mbali na shughuli nyingine za kidunia/kijamii ili litumike tu kwa ajili ya sadaka ya ibada takatifu ya misa.
Ubani unawekwa katika chungu na kufukizwa juu ya altare (meza ile ya kutolea dhabihu)ishara ishara ya kupatakatifuza na kumsihi Mungu ya kwamba sadaka zitakazotolewa hapo zipae kwake juu na harufu nzuri ya kumpendeza kama moshi huo wa ubani.Kadhalika husuguliwa kwa mafuta matakatifu ishara ya kupatakasa.
Unayosema mifupa ililetwa sina hakika kama uliiona mifupa kwasababu huwa sio mifupa haswa bali chembe ndogo sana ya masalia ya huyo mtakatifu aliyewekwa kuwa msimamizi wa kanisa mahalia.Kwa imani yetu sisi wakatoliki watakatifu wanao uwezo wa kutuombea kwa Mungu ndio maana tuna litania ya watakatifu.Hivyo kuweka alama yake katika kanisa husika ni ishara ya kukabidhi usimamizi wa kanisa husika kwake.
NB kwa maelezo ya mleta mada ninathubutu kusema sio mkatoliki maana naona hajui kila kitu.
Aisee hii ni hatariNipo kwenye tamasha la hawa manabii mkoa fulani.
Kuna jamaa amekalia wheelchair huku amejifunika na blanketi.
Nabii akaanza kukemea huku akimsogelea jamaa.
"NINASEMA TEMBEA"
"SHETANI UMESHINDWA, INUKA UTEMBEE"
Yule jamaa hanyanyuki kwenye wheelchair anamuangalia Nabii.
Nabii akasogea kwa nguvu akanyanyua blanketi kwa nguvu huku anakemea kwa mwendo uleule.
Turns out jamaa ni amekatika miguu.
Nabii kashikilia blanketi hajui alifanye nini
Hahahaha walifuata mifupa ya mzungu aliyekwisha kufa? Inasikitisha sana.Ungeelezea hadi mlivyoenda uwanja wa Ndege kwa maandamano kupokea hiyo mifupa. hahahaha....
RC Area A!
Kanisa lenu ni la kipaganiHii siyo hadithi wala story ni mwaka huu tu imetokea kwenye kanisa langu la siku zote.
Basi kulikuwa na usimikaji/kuzindua kanisa jipya tulilo changa ma hela kwa miaka kadhaa hadi mwaka huu likawa limekamilika na hatimae Askofu alikuja kulizindua kanisa hilo pamoja na kupewa hadhi ya kuwa parokia
Jambo lililo tuacha midomo wazi waumini wengi ni mambo kadhaa wa kadhaa (sita yataja yote) tukio la kulisimika kanisa lilianza saa3 asubuhi hadi saa10 jioni.
Moja ya matukio tuliyoona kwa macho ni mifupa ya marehemu aliye fariki siku nyingi kuletwa na kuzikwa kweye arutale(mimbari) Huyu marehemu ambaye kwa sasa tunamuita MT fulani kwa imani yetu.
Kulikuwa na chungu kama vile vya waganga wa kienyeji na vilikuwa na vitu kadhaa mle ndani pamoja na mkaa wa moto huku moshi mzito ukifuka.
Baada ya yote hayo kuisha kiongozi wetu wa dini yaani (.....) alipapaka mafuta na kuanza kupasugua na kupasafisha yeye mwenyewe. Na mengine mengi.
Hakika kwa haya yameniacha mdomo wazi na sio mimi tu nimejaribu kuuliza viongozi kadhaa wa dhehebu langu sijapewa jibu la kueleweka maana mimi niliona kama ni kinyume na ukristo.
Wakuu nahitaji kuuliza maana nilijua najua vitu vingi kwenye imani yangu kumbe bado kabisaaa ni mtoto.je hii ina ulazima gani na kwanini ifanyike hadharani na mc akitangaza hadharani kwenye vipaza sauti na watu wasio sali dhehebu letu wasikie na kujua kinacho endelea?
Je, wewe umewahi kuona kitu ambacho kilikuacha mdomo wazi na maswali mengi .
Ni mifupa ya zungu moja tena linaweza kuwa shoga na lijambazi eti mtakatifu."sina hakika kama uliiona mifupa kwasababu huwa sio mifupa haswa bali chembe ndogo sana ya masalia ya huyo mtakatifu"
Hayo masalia ni nini?