Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #21
Hivi kuchuchumaa kwenye ukataji wa gogo tumefundishwa eeh??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hulali tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nalala hapaHulali tu
MziguuuuNalala hapa
Mm ndo mmeo @Rajvimimi sijawahi kufundishwa kupika chochote lakini nilijikuta najua kila kitu
Upo njwiiiNalala hapa
-KuliaKuna mambo huwa tunajikuta tunayajua tu bila kufundishwa na mtu au bila kuyaona sehemu yoyote..., mfano
Kufanya mapenzi,sidhani kama kuna mtu alifundishwa hili,achana na yale maujuzi tunayokuja kuongeza kwenye mitandao n.k ila kwa mara ya kwanza ulijua tu tobo liko hapa na unapush in and out bila kufundishwa
Jambo lingine kutumia mkono wa kushoto kusafisha baada ya kufanya mambo yetu,hii nayo hakuna aliekufundisha
Jambo jingine ni kwa wanaume zaidi ile yakuruka sink moja,kama mwenzio anatumia sink la kwanza na kuna series of sinks huwezi kwenda kutumia lililopo pemben na lile analotumia lazima uruke moja na unajikuta unatumia la tatu kutoka kwake automatically, kama unatumia la pembeni yake nina habari mbaya kwako braza[emoji23]
Hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo nafikiri nature yenyewe inatufundisha,,ongeza mengine unayoyajua
Kulia kweli,ile inatokea tu-Kulia
-Kupenda
Umeolewa?mimi sijawahi kufundishwa kupika chochote lakini nilijikuta najua kila kitu
Tena Wengine Huwa Turoho Kweli Yaani Kamezaliwa2 Kanaanza Na Kulitafuta KanyonyeKweli mkuu,ziwa za mama zetu hakuna alietufundisha kabisa kufyonza zile