Ni mambo gani ya msingi unatakiwa uyatimize kabla ya kutimiza miaka 35?

Ni mambo gani ya msingi unatakiwa uyatimize kabla ya kutimiza miaka 35?

yna2,

Njia ya muongo ni fupi sana... hahahaha...

Ulisema una 35yrs, uzi unasema kabla hujafika 35yrs...

Hapo umejibu mtu ambae hujafika 35yrs... Baki na 29yrs yako hiyo hiyo...


Cc: mahondaw
 
yna2,

Njia ya muongo ni fupi sana... hahahaha...

Ulisema una 35yrs, uzi unasema kabla hujafika 35yrs...

Hapo umejibu mtu ambae hujafika 35yrs... Baki na 29yrs yako hiyo hiyo...


Cc: mahondaw
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji2960]
 
Japo Wanasema life begin at 40 mimi nakataa hayo ni maneno ya Senior Bachelors kujipa moyo.. mimi nasema life begin at 25.
Kabla ya kufika 27 nitajitahidi angalau niwe na familia hata kama life itakua imebamba vipi.
Huwezi jua mwenza ataleta baraka gani.
Naunga mkono hoja
 
Kuna mjadala unaoendelea hivi sasa katika radio kwa vijana wenye umri kuanzia miaka 30 kuhusu mambo muhimu wanayotakiwa kuyatimiza katika kipindi cha miaka 30 hadi kufika 35.

Kila mtu anazungumza yake mimi upande wangu nasema vitu vya umuhimu unatakiwa utimize ni pamoja uwe na shughuli maalumu ya kukuingizia kipato, kiwanja, nk.

Haya endelea kutaja vitu vya msingi.
Kulikoni hizi nyuzi za miaka 30 kama threshold, mbona zimezidi wiki hii?
 
Mimi nilifoji cheti so nina umri mpya wa bandia navimba mjini, umri halali ushavuka huko nami siutaki hata kuujua najifariji na cheti changu bado kinda.... age is just numbers [emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️[emoji1492]‍♂️
 
Mambo gani ambayo ninatakiwa kuyatimiza kabla sijafikisha miaka 35,



Ni mambo ninayotakiwa kuyatimiza kabla sijatimiza miaka 35😁😁
 
Back
Top Bottom