Ni mambo gani yanayosababisha gari kuchelewa kuchanganya?

Ni mambo gani yanayosababisha gari kuchelewa kuchanganya?

Shida itakuwa ni "Filter pump" aidha mbovu au kuna uchafu kwenye filter
Mkuu ulikuwa unamaanisha Fuel Filter au Fuel Pump?
Fuel filter inachuja mafuta kabla ya kuvutwa na fuel pump kwenda kwenye engine. Fuel pump inavuta mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye engine.

Fuel Pump ikifa gari haitembei kwasababu mafuta hayawezi kuvutwa kwenda kwenye engine.
Fuel filter ikijaa uchafu inaziba hivyo kupitisha mafuta kwa shida au kupitisha mafuta machafu. Hii ndio inasababisha gari ku-misfire au kuwa nzito.
 
Heshima yenu wana JF.

Nimekuwa nikijiuliza swali hili mara kwa mara na sijapata majibu sahihi.

Mwanzo niliponunua gari miaka minne iliyopita nilikuwa naona gari inachanganya haraka sana.

Nilikuwa natumia oil SAE 40 bila kujua nikawa nahisi gari nzito sqna na injini inavuma sana haswa asubuhi nikiwasha gari ila sasa nimebadilisha natumia 5w 30 naona gari imekuwa nyepesi kidogo na inachanganya haraka ila si kama mwazo niliponunua.

Kwa miaka yote hiyo nimekuwq nikifanya service ya injini oil na filter tu.

Pia nimewahi kubadilisha plug mara moja kwa muda wote huo.

Je ni mambo gani mengine napaswa kuyafanyia service?
Aina ya gari ni Nissan ya petrl cc 1500 gia box ni CVT.

Naomba ushauri wa service nyingine za kufanya kwa sasa.
inategemea na aina ya gari ila mimi navyo jua magari mengine yana kuwa na maringoo na nyodo sana siku likiamua kukununia ndobasi tena. ila ukitaka kufaidi kuwa na magari mawili
 
Check oil ya gearbox kama imechoka inaweza kusababisha.pia engine oil usinunue za mtaani nenda kwenye sheli kabisa ununue kama PUMA.mi ferrari yangu ya 2018 ilileta hilo tatizo ikawa haifiki spidi 250 ikabidi niagizie oil ujerumani.sasahivi ina peak vizuri sana.
images

eti Ferrari ya 2018 hata showroom haijatoka watu mmeshamwaga oil huku Tanzania
Mleta mada tatizo la kuchelewa kuchanganya ni fuel pump labda na plug
 
Mkuu ulikuwa unamaanisha Fuel Filter au Fuel Pump?
Fuel filter inachuja mafuta kabla ya kuvutwa na fuel pump kwenda kwenye engine. Fuel pump inavuta mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye engine.

Fuel Pump ikifa gari haitembei kwasababu mafuta hayawezi kuvutwa kwenda kwenye engine.
Fuel filter ikijaa uchafu inaziba hivyo kupitisha mafuta kwa shida au kupitisha mafuta machafu. Hii ndio inasababisha gari ku-misfire au kuwa nzito.
Fuel pump
 
Mkuu ulikuwa unamaanisha Fuel Filter au Fuel Pump?
Fuel filter inachuja mafuta kabla ya kuvutwa na fuel pump kwenda kwenye engine. Fuel pump inavuta mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye engine.

Fuel Pump ikifa gari haitembei kwasababu mafuta hayawezi kuvutwa kwenda kwenye engine.
Fuel filter ikijaa uchafu inaziba hivyo kupitisha mafuta kwa shida au kupitisha mafuta machafu. Hii ndio inasababisha gari ku-misfire au kuwa nzito.
shukrani itabidi nifanye ukaguzi wa haya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
images

eti Ferrari ya 2018 hata showroom haijatoka watu mmeshamwaga oil huku Tanzania
Mleta mada tatizo la kuchelewa kuchanganya ni fuel pump labda na plug
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante mkuu kwa ushauri inabidi nifanye service kwa upana zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo itakuwa ni gearbox oil(transmission fluid) imepoteza viscosity yake kabisa. Utaunguza gearbox ukiendelea kuendesha. Hizo oil ni bei chafu lkn ndo utamu wa kuwa na chepesi. Chana wallet mwanangu.
halafu urudi hapa na mrejesho ili tuendelee kujuzana.
 
Hiyo itakuwa ni gearbox oil(transmission fluid) imepoteza viscosity yake kabisa. Utaunguza gearbox ukiendelea kuendesha. Hizo oil ni bei chafu lkn ndo utamu wa kuwa na chepesi. Chana wallet mwanangu.
halafu urudi hapa na mrejesho ili tuendelee kujuzana.
ok mkuu... comments nyingi zimelenga gear box oil...ngoja nianzie hapo then nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom