Ni mambo madogo madogo ila yanakera sana

Ni mambo madogo madogo ila yanakera sana

😂😂 😂 😂 😂 😂
Au unazidisha chumvi, yaani unaweza tamani uloweke chakula kwenye maji ili u 'dilute chumvi.
😀😆😀unakuwa unauangalia msosi unatamani kutukana
 
ipoje hiyo shombo[emoji23]

Sent using Gun Trigger
1. Unaona dumu la maji, unaenda kulinyanyua kwa nguvu ukidhani lina maji kumbe lipo tupu. Unakuwa umetumia nguvu zako bure kabisa, inakera

2. Unaona mtu anakusalimia au kukupungia mkono huku akitabasamu. Na wewe unapokea salamu yake/kumpungia mkono ukiwa na tabasamu pana pia. Lakini sekunde chache baadaye unagundua hakuwa anakusalimia/kukupungia wewe bali mtu mwingine aliyepo pembeni ama nyuma yako. Kwa hiyo unakuwa kama umejipendekeza, inakera.

3. Unahisi kupiga chafya, unajiandaa kwa kwa kuasama mdomo huku ukifumba macho. Chafya inaanza kucheza na wewe, inafanya kama inakuja kisha inarudi, kama inakuja inarudi. Baada ya kufanya hivyo kwa muda kisa inapotea, haiji tena. Kwa hiyo chafya inakuwa imekufanya wewe mjinga, inakera.

4. Ndo umeanza kumung'unya tu pipi bado nzima tu mara inachoropoka na unaimeza kwa bahati mbaya. Imagine unaimeza wakati hata hujafaidi vizuri, unaweza tamani upasue tumbo uitoe ili uile tena, inakera

5. Unataka kupiga chafya tu na si kingine chochote. Unapiga chafya na kamasi pia zinatoka. Kwa hiyo unakuwa umefanya kitu zaidi bila ridhaa yako, inakera.

Na kama huna leso utawakera hadi wengine.
Asubuhi Mswaki umepamba moto mdomoni kwa kuweka dawa ya meno ya kutosha then paaap anapita mzee na kusalimia "Kijana Habari za asubuhi umeamkaje".. Inabidi uteme umsalimie mzee alafu uanze upya zoez.. [emoji3][emoji3][emoji23].. Dammm I hate that sh**t..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asubuhi Mswaki umepamba moto mdomoni kwa kuweka dawa ya meno ya kutosha then paaap anapita mzee na kusalimia "Kijana Habari za asubuhi umeamkaje".. Inabidi uteme umsalimie mzee alafu uanze upya zoez.. [emoji3][emoji3][emoji23].. Dammm I hate that sh**t..

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. 😀😀😀
 
Inakera sana

Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana

Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa

Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni

Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,

Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki

Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake

Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki

INAKERA SANA, SIO KIDOGO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Mzeebaba pole sana aisee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. 😀😀😀
😀😆😀
 
Mkuu hii ya kwako iingie kwenye jalada kabisa ya kumbukumbu. Nimecheka hadi chozi mkuu
Inakera sana

Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana

Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa

Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni

Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,

Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki

Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake

Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki

INAKERA SANA, SIO KIDOGO

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakera sana

Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana

Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa

Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni

Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,

Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki

Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake

Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki

INAKERA SANA, SIO KIDOGO

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Inakera sana

Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana

Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa

Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni

Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,

Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki

Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake

Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki

INAKERA SANA, SIO KIDOGO

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hiyo inakera zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natubu kabisa siangalie tena, na siku hiyo hiyo mzigo mpya unavuja basi kila nikifungua jamiiforums nakuta masela wanajadili.Wakuu sio poa haya mambo ilikuwa wapi siku zote
 
1. Unaona dumu la maji, unaenda kulinyanyua kwa nguvu ukidhani lina maji kumbe lipo tupu. Unakuwa umetumia nguvu zako bure kabisa, inakera

2. Unaona mtu anakusalimia au kukupungia mkono huku akitabasamu. Na wewe unapokea salamu yake/kumpungia mkono ukiwa na tabasamu pana pia. Lakini sekunde chache baadaye unagundua hakuwa anakusalimia/kukupungia wewe bali mtu mwingine aliyepo pembeni ama nyuma yako. Kwa hiyo unakuwa kama umejipendekeza, inakera.

3. Unahisi kupiga chafya, unajiandaa kwa kwa kuasama mdomo huku ukifumba macho. Chafya inaanza kucheza na wewe, inafanya kama inakuja kisha inarudi, kama inakuja inarudi. Baada ya kufanya hivyo kwa muda kisa inapotea, haiji tena. Kwa hiyo chafya inakuwa imekufanya wewe mjinga, inakera.

4. Ndo umeanza kumung'unya tu pipi bado nzima tu mara inachoropoka na unaimeza kwa bahati mbaya. Imagine unaimeza wakati hata hujafaidi vizuri, unaweza tamani upasue tumbo uitoe ili uile tena, inakera

5. Unataka kupiga chafya tu na si kingine chochote. Unapiga chafya na kamasi pia zinatoka. Kwa hiyo unakuwa umefanya kitu zaidi bila ridhaa yako, inakera.

Na kama huna leso utawakera hadi wengine.
. Hiyo namba 4 na 5 zinanihusu kabisa🤣🤣
 
Back
Top Bottom