financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Duh😀kulala na demu ananuka shombo ya matako inahitaji uvumilivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh😀kulala na demu ananuka shombo ya matako inahitaji uvumilivu
😀😆😀unakuwa unauangalia msosi unatamani kutukana😂😂 😂 😂 😂 😂
Au unazidisha chumvi, yaani unaweza tamani uloweke chakula kwenye maji ili u 'dilute chumvi.
ipoje hiyo shombo[emoji23]
Sent using Gun Trigger
Asubuhi Mswaki umepamba moto mdomoni kwa kuweka dawa ya meno ya kutosha then paaap anapita mzee na kusalimia "Kijana Habari za asubuhi umeamkaje".. Inabidi uteme umsalimie mzee alafu uanze upya zoez.. [emoji3][emoji3][emoji23].. Dammm I hate that sh**t..1. Unaona dumu la maji, unaenda kulinyanyua kwa nguvu ukidhani lina maji kumbe lipo tupu. Unakuwa umetumia nguvu zako bure kabisa, inakera
2. Unaona mtu anakusalimia au kukupungia mkono huku akitabasamu. Na wewe unapokea salamu yake/kumpungia mkono ukiwa na tabasamu pana pia. Lakini sekunde chache baadaye unagundua hakuwa anakusalimia/kukupungia wewe bali mtu mwingine aliyepo pembeni ama nyuma yako. Kwa hiyo unakuwa kama umejipendekeza, inakera.
3. Unahisi kupiga chafya, unajiandaa kwa kwa kuasama mdomo huku ukifumba macho. Chafya inaanza kucheza na wewe, inafanya kama inakuja kisha inarudi, kama inakuja inarudi. Baada ya kufanya hivyo kwa muda kisa inapotea, haiji tena. Kwa hiyo chafya inakuwa imekufanya wewe mjinga, inakera.
4. Ndo umeanza kumung'unya tu pipi bado nzima tu mara inachoropoka na unaimeza kwa bahati mbaya. Imagine unaimeza wakati hata hujafaidi vizuri, unaweza tamani upasue tumbo uitoe ili uile tena, inakera
5. Unataka kupiga chafya tu na si kingine chochote. Unapiga chafya na kamasi pia zinatoka. Kwa hiyo unakuwa umefanya kitu zaidi bila ridhaa yako, inakera.
Na kama huna leso utawakera hadi wengine.
😂 😂 😂 😂 😂 😂Asubuhi Mswaki umepamba moto mdomoni kwa kuweka dawa ya meno ya kutosha then paaap anapita mzee na kusalimia "Kijana Habari za asubuhi umeamkaje".. Inabidi uteme umsalimie mzee alafu uanze upya zoez.. [emoji3][emoji3][emoji23].. Dammm I hate that sh**t..
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂😀😆😀unakuwa unauangalia msosi unatamani kutukana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Mzeebaba pole sana aisee..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. [emoji3][emoji3][emoji3]
😀😆😀😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hii kitu inakera balaa, mara kadhaa imenikuta.
Nakumbuka kuna siku mpangaji mwenzangu wa kike mkali mkali alinisalimia, ikabidi nimeze povu la dawa ya meno ili nijibu salamu.
So disgusting ila sikuwa na namna. 😀😀😀
Inakera sana
Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana
Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa
Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni
Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,
Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki
Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake
Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki
INAKERA SANA, SIO KIDOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂 😂Inakera sana
Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana
Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa
Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni
Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,
Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki
Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake
Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki
INAKERA SANA, SIO KIDOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hiyo inakera zaidiInakera sana
Jana yake umechelewa kulala na siku ya kuamkia jumamosi umeamua utalala hadi saa 4 asubuhi ikibidi hadi saa 6 mchana
Kwenye saa 12 asubuhi unagongewa mlango kwa pupa, unaamua kupuuzia lakini mgongaji anaendelea kugonga mlango kwa nguvu kama anaubomoa
Ile unashuka kitandani, kufika sebuleni unajikwaa kwenye kona kochi [emoji51], unapata maumivu makali sana, unajikongoja hivyo hivyo kwenda kusikilizia mgeni
Kufungua mlango, mgeni anasema amepotea nyumba, je hapo ni kwa bwana Rweyemamu, unamwambia sio hapo, unamuelekeza unaingia ndani ili urudi chumbani kulala,
Kufika karibu ya kochi unalikwepa ili usijigonge tena, unapiga buti beseni lenye maji na vyombo na mabaki ya samaki, sebule nzima inanuka shombo ya samaki
Unaamua kuchukua tambara la dekio ili ujifute maji kisha urudi kulala, unakumbuka jana Jirani yako ambaye ni bachelor aliazima tambara ili adekie kwake
Unarudi kulala hivyo hivyo na mashombo ya samaki
INAKERA SANA, SIO KIDOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂Unatafuta kitu li-saa lizima, kumbe umekishika mkononi tu
Hiyo ya kwanza unaweza hisi Mungu amekutelekeza bila msaada wowote.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu hii ya kwako iingie kwenye jalada kabisa ya kumbukumbu. Nimecheka hadi chozi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
. Hiyo namba 4 na 5 zinanihusu kabisa🤣🤣1. Unaona dumu la maji, unaenda kulinyanyua kwa nguvu ukidhani lina maji kumbe lipo tupu. Unakuwa umetumia nguvu zako bure kabisa, inakera
2. Unaona mtu anakusalimia au kukupungia mkono huku akitabasamu. Na wewe unapokea salamu yake/kumpungia mkono ukiwa na tabasamu pana pia. Lakini sekunde chache baadaye unagundua hakuwa anakusalimia/kukupungia wewe bali mtu mwingine aliyepo pembeni ama nyuma yako. Kwa hiyo unakuwa kama umejipendekeza, inakera.
3. Unahisi kupiga chafya, unajiandaa kwa kwa kuasama mdomo huku ukifumba macho. Chafya inaanza kucheza na wewe, inafanya kama inakuja kisha inarudi, kama inakuja inarudi. Baada ya kufanya hivyo kwa muda kisa inapotea, haiji tena. Kwa hiyo chafya inakuwa imekufanya wewe mjinga, inakera.
4. Ndo umeanza kumung'unya tu pipi bado nzima tu mara inachoropoka na unaimeza kwa bahati mbaya. Imagine unaimeza wakati hata hujafaidi vizuri, unaweza tamani upasue tumbo uitoe ili uile tena, inakera
5. Unataka kupiga chafya tu na si kingine chochote. Unapiga chafya na kamasi pia zinatoka. Kwa hiyo unakuwa umefanya kitu zaidi bila ridhaa yako, inakera.
Na kama huna leso utawakera hadi wengine.
😀 😀 😀 😀. Hiyo namba 4 na 5 zinanihusu kabisa🤣🤣