Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Habari wakuu
Natumaini wote tulisoma kwenye zile shule zetu mambo mbali mbali, ikiwemo mambo ya kuzingatia katika uanzishaji wa kiwanda.
Inawezekana yale tuliyoyasoma shule, tumeyaacha kule kule na sasa tupo miaka zaidi ya kumi kwenye kuajiriwa, bila kuwa na hata karakana ya kunolea mapanga na visu.
Kupitia uzi huu, tutajie yale mambo ya kuzingatia, na utujulishe umekwama wapi katika kufanikisha lengo husika.
Kumiliki kiwanda au karakana inawezekana.
Natumaini wote tulisoma kwenye zile shule zetu mambo mbali mbali, ikiwemo mambo ya kuzingatia katika uanzishaji wa kiwanda.
Inawezekana yale tuliyoyasoma shule, tumeyaacha kule kule na sasa tupo miaka zaidi ya kumi kwenye kuajiriwa, bila kuwa na hata karakana ya kunolea mapanga na visu.
Kupitia uzi huu, tutajie yale mambo ya kuzingatia, na utujulishe umekwama wapi katika kufanikisha lengo husika.
Kumiliki kiwanda au karakana inawezekana.