Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
fahamu ukubwa wa kiwanda unacho taka kuanzisha.
Vibali
Ni bora wafikeNgoja waje
Mkuu mimi hata shule sija wahi kwenda, so stop trying to make me remember things that I don't even know.Unakumbuka kule shuleni waliovyokuwa wakitufundisha ''Factors affecting the location of industries''?
Majibu ndio yako hapo, kama tutaamua kufanya kwa vitendo; si lazima uanze na kikubwa, kama unaweza kuwa na mkopo wa gari kwa nini huku ushindwe?
Unakumbuka, binadamu wakale alivumbuliwa wapi?Mkuu mimi hata shule sija wahi kwenda, stop trying to make me remember things that I don't even know.
Kiinglish umezaliwa nacho Zambia!Mkuu mimi hata shule sija wahi kwenda, stop trying to make me remember things that I don't even know.
Sasa hiyo si lugha Kama lugha nyingine?, kwani hiki kiswahili si tume kikuta tu.Kiinglish umezaliwa nacho Zambia!
Tuanze na malighafi kwanza, ulishawahi kwenda sehemu ukakuta bidhaa toka shambani ziko nyingi mpaka zikatupwa na kuoza?-Mtaji wako
-Wateja unaowalenga
-Aina gani ya bidhaa unataka kuuza
-Vibali na leseni
-Eneo unalotaka kuweka kiwanda
Consult SIDO,BRELA,TRA,TIC,EPZA utapata muongozo mzuri
Tuanzie kwenye upatikanaji wa malighafi kama sababu ya kwanza, ya pili tuangalie nguvu kazi, alafu hizo zingine zifuate.Niliwahi chungulia file la kampuni moja
Kiwanda chako kinazalisha nn?
Ukishajua utaelewa kuna issue za regulators kwenye sekta utakayokuwako hao ndo wenye vibali ukianzia TRA, TBS, NEMC, OSHA, TIC, TMDA, AU KAMA NI UJENZI WANA ORGANIZATION YAKE, HAPA LAZIMA VIBALI VIWE VINAVYOHITAJIKA ILI UWEZE KUFANYA BIASHARA........
MTAJI,
ENEO LILIPO KIWANDA,
WAFANYA KAZI, SKILLED AND UN SKILLED
WADAU WENGINEO
Kuzoeana na wanasiasa na wakuu wa nchi ili kusaidiwa mchakato wako kuwa haraka.Habari wakuu
Natumaini wote tulisoma kwenye zile shule zetu mambo mbali mbali, ikiwemo mambo ya kuzingatia katika uanzishaji wa kiwanda.
Inawezekana yale tuliyoyasoma shule, tumeyaacha kule kule na sasa tupo miaka zaidi ya kumi kwenye kuajiriwa, bila kuwa na hata karakana ya kunolea mapanga na visu.
Kupitia uzi huu, tutajie yale mambo ya kuzingatia, na utujulishe umekwama wapi katika kufanikisha lengo husika.
Kumiliki kiwanda au karakana inawezekana.
Kuzoeana na wanasiasa na wakuu wa nchi ili kusaidiwa mchakato wako kuwa haraka.
Kuwa chaguo la ccm ili wasije kukupa hasara.
Figisu za mtwara umezisahau na korosho kipindi cha magufuri.Kwa mfano, umeenda kutembelea kijiji x, ukakuta wakulima wanalima labda alizeti; wakakuambia tumelima kiasi kikubwa sana na hatuna sehemu za kuzipeleka; kwa mazingira hayo, utategemea chama ndio kikuambie ufanye nini?
Figisu za mtwara umezisahau na korosho kipindi cha magufuri.
Hii nchi kuna mambo mengine unaweza ukapoteza pesa kama nilivyokueleza.
Kuna tajiri mmoja kahama shinyanga kiwanda kilinyanyuka kwa ajili ya magufuri tu.
Shida utakula vikwazo na sababuni zako mpaka akili zikukae sawa.Nakubaliana na hoja yako, ata siasa imekuwa ni sehemu ya kizuizi na pia ni kitu cha kuzingatia. Lakini isiwe sababu kuu ya kuzuia kile unachotaka kufanya, kwa sababu kuna taratibu za kufuata ili kupata vibali.
Mfano, umeenda sehemu ukakuta kuna malimao mengi mpaka yanaoza; lakini kichwani mwako una ujuzi wa kuyageuza yale malimao kuwa sabuni; ungekuwa wewe ungefany anini?
Tatizo linaweza kuwa nini hasa, chuki au kutokufuata utaratibu?Shida utakula vikwazo na sababuni zako mpaka akili zikukae sawa.
Kuna jamaa yangu alitaka kufungua kiwanda kikubwa cha bidhaa X baada ya kuona kama ulivyo sema.
Kama ushuzi ulipata wajambaji kuanzia ngazi za serikali na kwengine wote wakitaka pesa kwanza wakati mtu anataka kukuza sekta na fursa kwanza.
Mpaka leo nashindwa kuelewa nini sababu.Tatizo linaweza kuwa nini hasa, chuki au kutokufuata utaratibu?