Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Yaani ukiulizwa hivi moyo unaruka paa😀😀 hamna sms tamu kama imethibitishwa umepokea Tzs...... 😜Hii namba umeisajili kwa jina gani nataka nikutumie pesa
Mbona nyinyi mnayafanya mapenzi yaonekane kama bidhaaTIGOPESA UMEPOKEA 30,000 KUTOKA..
Hii namba umeisajili kwa jina gani nataka nikutumie pesa
Kikubwa kwenye hela anayokupa unaenda kuifanyia nini ?Yaani ukiulizwa hivi moyo unaruka paa😀😀 hamna sms tamu kama imethibitishwa umepokea Tzs...... 😜
Haha mkuu sio kuhudumiwa hii inatokea ka babe kanajua unakula chombo siku moja kana amua kusema kua kana nunua chomboKikubwa kwenye hela anayokupa unaenda kuifanyia nini ?
Tujue itapendeza zaidi.
Kuna mmoja huku kawa specific mpenz wake anamuhudumia hela ya pombe.. penz linakua tamu kinoma.
Mkuu King Kong huyo [emoji16][emoji16]8AHN4356KLM Confirmed:You have received a payment of 400,000 from 236365 -TIGO PESA TANZANIA on 29/1/21 at 23:58.New M-pesa balance is Tsh 402,000.00
Twende kwenye uhalisia..mfano labda anaumwaMbona nyinyi mnayafanya mapenzi yaonekane kama bidhaa