Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Kudate mwanamke mswahili na maskin Ni shida SanaHaumwi na hana shida ya hela, tatizo mnadate mademu maskini na wa uswahili, vijana wa miaka hii mna shida sana
[emoji4][emoji4][emoji4]kipi iko mkuuUmenkumbusha kitu dah
Yani nikutumie 2M kisha uninunulie chocolate ya ivori ya buku? 😁😁😁Pesa ina matumizi mengi mkuu! I don't drink so itakua inaenda kwenye matumizi mengine ya kawaida tu ila lazima na yeye nimnunulie kizawadi kidogo hapo hata kachocolate tuu😉
Yani mimi demu akiniambia maneno matamu sana, akawa na mahaba yaliyopitiliza kama ya kwenye vitabu uwa nahisi kama anataka kunitapeli au ataka kunipa limbwata uwa nakuwa muda wote nimesimamisha machale mguu nje mguu ndani.Kwa wale wataalamu wa maneno Hebu tusaidiane ni maneno Gani ukimwambia mtoto wa kike au kiume akiwa kama mpenzi yakamfanya moyo wake usisimke na kukupenda zaidi
Kama unayo hebu tupia maneno matamu ya kumsisimuaa mpz wako kiasi kwamba akasisimka na kukupenda hatari
Hahaa ivori inasindikizwa na msg nzitoYani nikutumie 2M kisha uninunulie chocolate ya ivori ya buku? [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaaa babe zawadi ni zawadi ila ukituma hiyo aki naongeza zawadi! Naenda kutafuta kiatu kikali na shati flani la blue bahari hivi na suruali dark blue! Nikikuletea hapo utachekelea kumbe kwenye 2m nimetoa laki 2 tuu then 1.8m ni net profit 😀😀Yani nikutumie 2M kisha uninunulie chocolate ya ivori ya buku? 😁😁😁
Hahahahah ndio maana hatuwaachi wanawake wetu wa kibongo. Mna vituko vya pekee ambavyo ni ngumu sana kuvipata hata Kenya tu 😂😂😂Hahaaa babe zawadi ni zawadi ila ukituma hiyo aki naongeza zawadi! Naenda kutafuta kiatu kikali na shati flani la blue bahari hivi na suruali dark blue! Nikikuletea hapo utachekelea kumbe kwenye 2m nimetoa laki 2 tuu then 1.8m ni net profit 😀😀
Hahaa mbona kawaida tu sasa si bora hata anayekunulia chochote! Kuna wengine ukiwapa hiyo ndo ishatoka anapanga bajeti zake huko 😀😀Hahahahah ndio maana hatuwaachi wanawake wetu wa kibongo. Mna vituko vya pekee ambavyo ni ngumu sana kuvipata hata Kenya tu 😂😂😂
Maneno matam yanajenga penzi zaidi ya pesa Penzi linalojengwa kwa pesa jepesi kupata usaliti kuliko ninalojengwa kwa maneno matam yatokayo moyoni na yenye kuonesha uhalisia . Mfano " Nikwambie kitu mpenz Najiona mwenye bahati sana kua na mke/mume kama ww mbali na uzuri wa umbo lako akili fikra na mawazo yako yananipa nguvu ya kujiona ni mtu kwenye watu hata kwa hiki kidogo nilichonacho na kwa namna unavyonistahamilia na kunishauri vyema hakika ww ni make/mume sahihi kwangu.Hahaa mbona kawaida tu sasa si bora hata anayekunulia chochote! Kuna wengine ukiwapa hiyo ndo ishatoka anapanga bajeti zake huko 😀😀
Wahenga waliona mbali"pesa sabuni ya roho" hata kama hakupendi ataliwa kimasiharaKuna maneno mengine zaidi ya Imethibitishwa? [emoji3]
Wacha maneno mengi ww pesa ni mpesa tu, maneno hayalipi billsManeno matam yanajenga penzi zaidi ya pesa Penzi linalojengwa kwa pesa jepesi kupata usaliti kuliko ninalojengwa kwa maneno matam yatokayo moyoni na yenye kuonesha uhalisia . Mfano " Nikwambie kitu mpenz Najiona mwenye bahati sana kua na mke/mume kama ww mbali na uzuri wa umbo lako akili fikra na mawazo yako yananipa nguvu ya kujiona ni mtu kwenye watu hata kwa hiki kidogo nilichonacho na kwa namna unavyonistahamilia na kunishauri vyema hakika ww ni make/mume sahihi kwangu Nakupenda zaidi ya neno lenyewe" Mfano wa madhara ya pesa " Nimekutumia milioni 1 kafanye shopping beby kina kudume mwengine day lake million 2 kipi kitamuweka kwako milioni 1 au 2 ya jamaa .maana anakua hana kitu kitakachomfanya ajihisi special kwako.
Punguza miamala Mapenz hayanunuliwi utakuja kuwalaumu bure hawa viumbe uchawi wao ni kuwafanya wajione muhimu wake kwako sio ww kwake yy anajua anakuna na watu wenye pesa zaidi yako ila atawapuuza akijua thamani yake kwakoWacha maneno mengi ww pesa ni mpesa tu, maneno hayalipi billsp
Nitumie majina yako pamoja na namba nataka nikufanyie kautaratibu kadogoYaani ukiulizwa hivi moyo unaruka paa[emoji3][emoji3] hamna sms tamu kama imethibitishwa umepokea Tzs...... [emoji12]
[emoji28][emoji28][emoji28]Wakike....
5QPT73GHYMB4T5YZ Imethibitishwa......