Staili ya kutamka neno na kumaliza na kiambishi" je" kwa mfano, Namchukiaje, au nampendaje! sipendi kabisa kusikia neno hili
Staili ya kutamka neno na kumaliza na kiambishi" je" kwa mfano, Namchukiaje, au nampendaje! sipendi kabisa kusikia neno hili
Kuna msg siku hizi hasa kwa wadada,wakimaliza mwishoni mwa msg hizo humaliza kwa kusema neno 'Lol..sijui wanamaanisha nn
Mimi neno ''k''nalichukia saaana