Kumbe ipo hiviAnytime hata foetus unaweza kupima akingali kwenye uterus. DNA kwa kiumbe hai yoyote ni kama codes kwenye programming
HahahahaLea tu mkuu hayo mambo ya DNA yataleta mfarakano tu. Kubali tu kuingia kwenye zile asilimia za mkemia mkuu za wababa wanaolea watoto wasio wao.
Washaandaa majibu yao mfukoni??Hata ukipima,utaambiwa tu ni wako............Lea tu mkuu
Hatutaki watoto wa mitaani,tunataka mtoto apate malezi ya baba na mama.......kama umebambikiwa pole mkuu....labda ukapime nje huko ila hapa nijuavyo unapoteza muda tu,chamsingi fungua jumbo account mapema tuWashaandaa majibu yao mfukoni??