Nimekupelekea maji yako inbox. Kama unataka kaoge. Mi simoKivipi mkuu? Yani kweli nimeoa alafu naishia kufukuzia kama demu mpya vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiukweli huyu mama kanizoea sana ndo sababu anaona sina umuhimu wakupewa mibuno...../ ila nikopata replacement kaisha
Maneno "Basi yaishe" hayana ushawishi.Acha tusogezane na hiyo hiyo "basi yaishe"
Siku hizi hamna mapenzi. Kuna sanaa. Na wanawake wameanzisha.Aisee mimi napenda awe na wivu na mimi h, wala sitomuona msumbufu, imagine mtu hana wivu na yaani fanya unachojiskia wala hajali, hapigi simu mmh hapo hamna upendo. Raha ni hvyo kidogo usipopokea simu anamind, yaani wivu wivu tu flani😍😀
Hahahahahah ili badae umuone zoba uanze kumchiti na mtu asiyejali. Yani mwanamke wa kisasa ukimuonesha upendo anakuburuza hadi ukomeAisee mimi napenda awe na wivu na mimi h, wala sitomuona msumbufu, imagine mtu hana wivu na yaani fanya unachojiskia wala hajali, hapigi simu mmh hapo hamna upendo. Raha ni hvyo kidogo usipopokea simu anamind, yaani wivu wivu tu flani😍😀
Mapenzi yapo na pitia comments humu utaona watu wanavyoenjoy, sanaa aah sijui labdaSiku hizi hamna mapenzi. Kuna sanaa. Na wanawake wameanzisha.
Mimi ninapoishika ndipo hapo hapo naiminya. Lakini sipendi mwingine afanye hivyo. Nataka watu wawe systematic lakini mimi niwe free kwa lolote wakati wowote. Ndiyo maana tunaoa kwa ajili ya kukamilishana.Ndio Mkuu, vile unaminya dawa ya meno kunaongea vile ulivyo. Kuna watu wanabinya kati kati, wengine juu, wengine mwisho na wengine mwisho alafu wanaikunja.
Nadhani mdau aliyelalamika ni hawa wakuminya mwisho ya tube, huwa ni watu wataratibu, makini na wenye utulivu kwenye mipango yao. No wonder analalamika.
Ukijichunguza utagundua huwa kuna mahali unabinya hiyo tube ya dawa kila siku.
Aah hapana why umcheat mtu anayekupenda na kukuheshimu? Wadada hadi kumcheat mtu labda kuwa na shida kuubwa, tuna upendo wa dhati sana sisi 😀Hahahahahah ili badae umuone zoba uanze kumchiti na mtu asiyejali. Yani mwanamke wa kisasa ukimuonesha upendo anakuburuza hadi ukome
Watu systematic huminya kuanzia chini. Na hawa wengi ni wanawake ingawa wanaume pia Wapo ila wengi ni wanawake.Nakubaliana nawewe kuwa Kila mtu ana sehemu aliyozoea kubinyia lakini nakataa kuwa Kuna sehemu special ya kubinyia na kuwa Kuna uhusiano Kati ya sehemu ya kubinyia na tabia ya mtu
Ikiwa unayamudu hayo basi jua kabisa kuwa huyo mtu unamzingatia kwa hisia na sio siri lazma ni mtoaji mzuri wa hela kwahio hayo unaona yanavumilika. Ila ingekuwa humpendi nafikiri mwezi ungekuwa mrefu sana kabla hujaanza kulalamika na kumtaftia mbadala.1.Wivu baba cha wivuuu
2.Gubu jamani ili tu abembelezwe
3.Kudeka usiseme
4.Kulalamika
5.Simu upokee haraka kama umebeba kikombe cha chai kitupe upokee simu yake
Haya mapungufu machache sana nayamudu hana mambo mengi baba wa watu
Mtafune bana [emoji1787] mtoto kaiva kabisa yule
Iwe fundisho kwa wengine.Hahahahahah adhabu yake ni kali kweli
Kuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Aah hapana why umcheat mtu anayekupenda na kukuheshimu? Wadada hadi kumcheat mtu labda kuwa na shida kuubwa, tuna upendo wa dhati sana sisi 😀
hawa bila kwenda nao kindava awaelewiIwe fundisho kwa wengine.
Wakati mwingine unawaletea umbubu tu.
Nilipata kuishi na demu fulani, ni zile dizaini za kizaramo, kidogo kanuna, anaweza ongea usiku kucha.
Siku moja tumevurugana, kabwabwaja wee, mie nikajipandia zangu kitandani nikalala, asubuhi nimeamka anafanya usafi, mie mzee wa kuflash nikampa hi, anaitikia kama kalazimishwa, nikafanya yangu... Namuuliza tumapiga kifungua kinywa gani, maana ndani kulikuwa hakuna kitu kabiisa mzaga zaga yalikuwa yamekata
Jibu lake sasa
"sijisikii kupika"
Nikavaa nguo zangu, nikaanza kutoka akaniuliza unaniachaje, humu ndani hakuna kitu au ndio unaenda kununua vitu, mie "hapana"
Yeye, unaniachaje sasa, niachie hela ya kula.
Nami nikamjibu sijisikii kuacha hela..
Nikatoka mtaa wa kwanza mtaa wa pili, naenda kwa jini langu moja, napata kifungua kinywa saafi, nakula na kumkula mwanadamu mwenzangu.
Mchana simu, mie nina njaa, sijajibu, usiku simu nina njaa sijajibu, urudi hata na chipsi mume wangu, nikaona huyu tayari kajua kama ana mume.. Nikahakikisha nimekula nimeshiba, nikanunua chipsi kavu nikaeda nazo ananawa ale, nami nikanawa nile, akasema mume wangu vichipsi hivi tule wote, nikamuuliza unataka kula na nani sasa, we umesema hujisikii kupika, sasa nimekula wapi, akajichekesha tukavitafuna viazi, tukashushia na maji usingiz asubuh salam ya kwanza ni umeamkaje mume wangu. 😂
Moyoni nikasema pumbavu kabisa.. Nikajibu salama nae ndio wa kwanza kuuliza tunapiga kifungua kinywa gani.. 😂🤣
Aiseee Mr. Narcissist huyo mtu usimuache.Kwa upande wangu sina mke kwa sasa, lakini nina mpenzi, nampenda sana, ila huwa ananichekeshaga sana.
1. Ana hasira za karibu(Plus ukorofi)
-kipindi ambacho anakujaga kuishi kwangu huwa anafanya vitu vinanikera sana hadi sometimes nachekaga tuu, ana sura ya kitoto, sauti ya kitoto, ni mfupi, yaan basically ni mtoto ndo maana hata akinikera nashindwa hata cha kumfanya mwishowe nacheka tuu.
-huwaga mara nyingi nachelewaga kurudi, sasa yeye hataki nichelewe kurudi, hataki kabisaaa, na ukimwambia nilikuwa sehemu flani hataki, yeye anachojua mm nilikuwa na wanawake wengine, hii inampelekea kufoka, kununa(sunajua zile morning drama, yaan asubuhi anawasha generator, halizimiki hata useme nn) pamoja na kushtaki kwa mama angu, sasa kuna siku hio sitoisahau, tulikuwa tunabishana akanimwagia maji usoni, aisee nilikasirika vibaya mno, aligundua nimekasirika akaanza kujiliiza, ugomvi wenyew ulikuwa ni wa kijinga sana, huwaga anafanya mambo kwa hasira alaf badae anaanza kujuta.
2. Anapenda kulia
-Baada ya kukukera, ukianza kuja juu analia, atalia hapo nusu saa nzima, Kitu kidogo tuu analia, na akianza kulia atakukumbushia mambo uliyomfanyia miezi sita iliyopita, na analia kokote hachagui sehemu ya kulia, barabarani, kweny mgahawa, kanisani etc
-Kuna siku tulikuwa kweny mkusanyiko wa watu akaanza kulia hadi watu wakawa wanatuangalia, na ukimbembelea ndo unachochea.
-Yaan ukimkosea analia na akikukosea wewe bado analia yeye, hadi leo bado sijaelewa hio kitu ikoje.
3. Anaongea sana
-Ila sikuiz nishamzoea, akianza kuongea naweka simu chini naanza kumsikiliza, anapenda sana kuniadisia mambo yake, na akianza kuadisia hamalizi, huwa sometimes hadi nasinzia, utakuta ananishtua anasema "mbona unalala au nakuboa?" sasa ole wako useme "Ndio", utazalisha kesi nyingine na mwisho wake ni vilio.
Mazuri yake;
-Anapatana sana na mama yangu.
-Ananipaga ushauri mzuri.
-Ni msafi.
-Pamoja na kuwa mkorofi anajua wapi amekosea na anaomba msamaha
-Ana maisha yake, hapendi kuiga watu.
-Anajiheshimu sana, havai nusu uchi.
-Hatumii pombe, sigara wala kilevi chochote, sio mtu wa kwenda bar/club.
-Ana hofu ya mungu.
Kwakweli inakera kuomba msamaha mtu akajifanya mwamba na kuamsha vilivyolala, tutaacha hako katabia ili tusizione hizo rangi lohWanawake akili zenu mnazijua wenyewe, dawa yenu ni sisi kuwa watu tusio tabilika, binafsi sitabiliki... Nashukuru nae anajua hilo, nikiomba msamaha linakuwa limeishia hapo, ila kama atajikuta ndio mwamba ataona rangi zoote za duniani mpaka mbinguni.
Kuna kaukweli hivi, ila kuwa na wivu na wewe haimaanishi ni mnyonge or mpole sana, ni ile wivu wa kawaida tu na huwezi kumburuza.Hahahahah hakunaga cha shida wala nini ni dharau tu. Mwanamke ukimfanya akuhitaji zaidi ya unavyomuhitaji anakuwaga na adabu. Ila ikiwa vice versa anaona yeye anaanza kuona wewe una udhaifu anatafta mwanaume wa kumburuza na kumfanya akili yake iwe inawaza tu mda mwingi.
Inshort ukimpuumzisha sana mwanamke kihisia hapendagi hio hali. Hata wewe wanaume waliokuwa wapole sana kwako kuna jinsi ulikuwa unawaringia ringia sana. Ila yule mbabe ndio aliyekunyoosha.
Nakuambia Ex ukipata mtu anaekupenda kila kitu kinakuwa sawa,swala kubwa kabisa linaloudhi ni umalaya tu ndio kubwa na miaka nane hii ya pamoja sijaona hilo ametulia sana,mi mwenyewe ananivumilia maana nna maudhi yangu mengi tu ila cha muhimu ni kupatana na kuelewana na kupeana furaha na kujua nin mnataka kwa mahusiano yenuIkiwa unayamudu hayo basi jua kabisa kuwa huyo mtu unamzingatia kwa hisia na sio siri lazma ni mtoaji mzuri wa hela kwahio hayo unaona yanavumilika. Ila ingekuwa humpendi nafikiri mwezi ungekuwa mrefu sana kabla hujaanza kulalamika na kumtaftia mbadala.
😂😂Wasukuma nawapenda ila hiyo tabia ya kutokuwa romantic muacheHahaaaa, huyo pigo za kisukuma hawezi. Huyo hawezi wanaume dizain yetu. Yeye anawaweza masharobaro tu. Wagumu hawawezi ataita maji mma.