dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
miaka zaidi ya miwili hujaleta mrejesho, au jaribio lako halikukamilika?Kuna majaribio nataka kuyafanya karibuni nikimaliza nitaleta mrejesho hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miaka zaidi ya miwili hujaleta mrejesho, au jaribio lako halikukamilika?Kuna majaribio nataka kuyafanya karibuni nikimaliza nitaleta mrejesho hapa
kujilinda nunua generator usijepata BP nduguNaishi Mwanza kaka
au betery N100 itasaidia na lichajiwe kila umeme ukija.kujilinda nunua generator usijepata BP ndugu
100 ni hasara kuimiliki kwa nini usifanye utaratibu ukanunua ya 300 walauau betery N100 itasaidia na lichajiwe kila umeme ukija.
Mkuu nahitaji kununua incubator machine isiyozidi mayai 100 ili nichukue uzoefu kwanza vipi naweza pata wapi? iwe og
Lengo ni ya mayai 600. kwa sina uzoefu wowote kuhusu hizi machine napenda sana kuanza na kitu kidogo kama kujifunza mkuu100 ni hasara kuimiliki kwa nini usifanye utaratibu ukanunua ya 300 walau
jambo zuri sana..kwa upande wa kampuni zinazo tengeneza izi mashine naona wengi huziunda kwa kunganisha parts hasa vijana wa sido na veta haiji kama mashine na jina lake kabisa mkuu.Lengo ni ya mayai 600. kwa sina uzoefu wowote kuhusu hizi machine napenda sana kuanza na kitu kidogo kama kujifunza mkuu
Kuna jama anajiita mwalimu kuku farm yupo youtub,tiktok instagram na fb huwa anauza nimewa kutana nae dodoma ila bado nikawa na mshaka maana yeye alikuwa ana promote kibiashara tu. Ahsante sana nitafanya uchunguzi zaidijambo zuri sana..kwa upande wa kampuni zinazo tengeneza izi mashine naona wengi huziunda kwa kunganisha parts hasa vijana wa sido na veta haiji kama mashine na jina lake kabisa mkuu.
japo kuna za kichina naziona nisikushauri kwani sijawahi zitumia
changamoto kubwa kwenye hizo mashine ndogo za kichina ni kwenye kugeuza mayai..na unyevuKuna jama anajiita mwalimu kuku farm yupo youtub,tiktok instagram na fb huwa anauza nimewa kutana nae dodoma ila bado nikawa na mshaka maana yeye alikuwa ana promote kibiashara tu. Ahsante sana nitafanya uchunguzi zaidi