scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 457
- 328
Kuna jamaa kanisingizia eti nimemuibia na kudai kuwa usiku aliniona kwa mbali nkikimbia na mali yake.
Pia mtu huyu katoa maelezo yanayotafautiana zaidi ya mara 3.
Akidai alishuhudia mali yake ikiibiwa kupitia dirishani usiku wa saa saba ikichukuliwa simu kwanza na baadae computer, na akaja kustuka asubuhi saa 1:30 na kutoa taarifa kwa majirani kuwa kaibiwa na kuntaja mimi eti nlikuwa miongoni.
Nilipigwa search mda huohuo hakunikuta na mali yake yoyote wala kielelezo,
Mimi naishi na mdogo wangu hivyo ni shahidi wa kutosha.
Mwanzo alitaka nimlipe hata nusu ya gharama za mali yake ili kesi iishie polisi lakini kwakuwa mimi sikufanya hivyo nikakataa na kutaka twende mahakamani.
Kesi yetu ipo mahakama ya mwanzo na tunasubiri kusikilizwa.
Je ni maswali gani ntamuuliza huyu anaenituhumu ili nimnyooshe maana kanidhalilisha sana.
NAWASILISHA.
Pia mtu huyu katoa maelezo yanayotafautiana zaidi ya mara 3.
Akidai alishuhudia mali yake ikiibiwa kupitia dirishani usiku wa saa saba ikichukuliwa simu kwanza na baadae computer, na akaja kustuka asubuhi saa 1:30 na kutoa taarifa kwa majirani kuwa kaibiwa na kuntaja mimi eti nlikuwa miongoni.
Nilipigwa search mda huohuo hakunikuta na mali yake yoyote wala kielelezo,
Mimi naishi na mdogo wangu hivyo ni shahidi wa kutosha.
Mwanzo alitaka nimlipe hata nusu ya gharama za mali yake ili kesi iishie polisi lakini kwakuwa mimi sikufanya hivyo nikakataa na kutaka twende mahakamani.
Kesi yetu ipo mahakama ya mwanzo na tunasubiri kusikilizwa.
Je ni maswali gani ntamuuliza huyu anaenituhumu ili nimnyooshe maana kanidhalilisha sana.
NAWASILISHA.