Dah polee sana, hii inazingua mtu apo umechoka unataka kupumzikaMimi jirani tunayepakana chumba cha kupanga wakati wanafanya mapenzi wanapiga kelele sana na mimi nipo single basi muda mwingine huwa natoka nje kupunga upepo hadi wamalize
pole mtaniWanaokesha kwenye kanisa na vipaza sauti vikubwaaa halafu kumbe ni waumini 2 au hata mmoja. Hawajali kuwa kuna wagonjwa, watoto , wazee na hata watu wengine ambao wanahitaji kulala usingizi usiku huo
Basi hapa kwangu nipo safeNi kweli kabisa
Ahsante mtani, yaani hapa kwetu yapo matatu halafu yako karibu karibu. Wakifarakana kikundi kinaenda kuanzisha kanisa hapo hapo jirani.pole mtani
mmmh hapo mna kazi sanaAhsante mtani, yaani hapa kwetu yapo matatu halafu yako karibu karibu. Wakifarakana kikundi kinaenda kuanzisha kanisa hapo hapo jirani.
Sema tu hua unajiunga na kifurushi cha CHAPUTA mkuu.Mimi jirani tunayepakana chumba cha kupanga wakati wanafanya mapenzi wanapiga kelele sana na mimi nipo single basi muda mwingine huwa natoka nje kupunga upepo hadi wamalize