Ni matokeo ambayo 'JF Football Pundits' na wenye 'Maono Makali' tuliyatarajia, ila Msimu ujao Simba SC isajili Wachezaji wa uhakika hasa

Ni matokeo ambayo 'JF Football Pundits' na wenye 'Maono Makali' tuliyatarajia, ila Msimu ujao Simba SC isajili Wachezaji wa uhakika hasa

Mugalu , Wawa , Kanoute na Kagere itoshe tu kusema , tunawashukuru kwa mchango wao . Ni muda sasa wa kuondoka ndani ya simba sc.

Wazawa Bocco , Nyoni , kakolanya , Ali salimu , mwenda nao tuseme imetosha
 
Tatizo lingine ambalo hujaligusia ni kuwa simba hatuna full backs.

Hawa kina shabalala na Kapombe hawana uwezo wa kupambana na wingers wenye kasi na pia uwezo wao wa kupiga crosses ni mdogo sana. Chunguza sana hizi game za kimataifa na hata za ndani jinsi wanavyochemka wakikutana na timibzinazoshambulia kupita pembeni.Tujiandae kisaikolojia kwaa game ya derby ya kariakoo..nahisi tunaweza tukapigwa .
Tutaroga / Nitaroga hatutafungwa nao!!
 
Mleta mada wakati mwingine una muono. Nadhani wakati mwingine bangi ya kwenu Tarime unayotumiaga achana nayo ili utumie vizuri medula oblungata yako. Kudos kwa Uzi huu Kama uongozi wa Simba sc itaufanyia kazi bila shaka Simba itapogress fowrd siyo Kama Sasa Ina reverse gear.
 
Simba eneo ambalo linatia huruma na wanatakiwa wapate haraka watu wa maana n eneo la kiungo kiungo mkabaji simba tunae mmoja tu Tadeo lwanga wengine magumashi kwenye namba nane hatuna mtu bwalya huwa anaruka ruka tu kidogo namba kumi afazal tunae chama
 
Kat
Yaani leo tu game moja ndiyo tayari hawajui kupiga cross!? Tuwe wakweli bana hao ndiyo wachezaji bora wa pembeni nchini hawawezi kuwa perfect kwa kila kitu

Ila nilichokiona mimi ni kwamba Simba ni timu ambayo ukiitazama kwa undani utagundua imeathiriwa mno na wachezaji wa kule mbele ambao ni butu ila kudefend wako vizuri tu.
Kocha wetu hajiamini ndiyo maana kila mechi anabahatisha tu
Katika mpira wa kiushindani huwezi kuja na sababu kama hizo kusema kuwa hawawezi kuwa wazuri kwa kila kitu.

Kila nafasi uwanjani huwa ina majukumu yake na mengine ni basics tu, mfano brki wa kati ni lazima uwe na kasi , uweze kucheza tackling,uweze kupiga header.

Beki wa pembeni wa kushoto lazima uwe una uwezo wa kutumia mguu wa kushoto na pia kuutumia kupiga crosses ,pia ni lazima uwe na pumzi za kupanda wakati timu inaenda kushambulia na kurudi wakati mnashambuliwa hii inasaidiana kukabiliana na attacking midfielders .
 
Kama Uongozi wa Simba SC na 'Scouting Team' ya Simba SC itakuwa tayari basi itupe Sisi JamiiForums Football Pundits na Watu wenye Maono Makali Jukumu la Kuwaambia ni Wachezaji gani Wazuri na Mahiri wanafaa Kuichezea Simba SC yetu kwa Msimu ujao.

Wengine uzuri wetu hatuishii tu Kuuchambua au Kuuroga au kuufanyia Umafia Mpira wa Bongo ( Tanzania ) lakini pia hata Mpira wenyewe nao tumeucheza, tunaujua na enzi zetu tulikuwa Mahiri hivyo tukikuambia kuwa Mchezaji fulani anafaa na fulani hajui tuamini kwa 99.9999%.

Niliwahi kuja hapa na Uzi wa kwanini Simba SC iliachana na Said Ndemla na Kumsajili Saido Kanoute sikueleweka na wasioujua Mpira na leo ukosoaji wangu kwa Kanoute ndiyo unaeleweka.

Niliwahi kuja na Uzi hapa hapa kuwa hakukuwa na haja ya kuachana na Mchezaji Perfect Chikwende na Kumsajili Kinda Peter Banda kama kawaida sikueleweka ila leo baadhi ya Watu wanaanza Kunielewa.

Niliwahi hapa hapa JamiiForums kuja na Uzi wa Kumsema Beki Henock Inonga Baka kuwa ana Utoto mwingi, Upuuzi, Sifa za Kijinga, mtaka Attention za Kipumbavu, ana Dharau na kwamba pamoja na kwamba ana Kipaji Kikubwa ila aambiwe upesi ili abadilike kwani atakuja Kutugharimu sikueleweka lakini baada ya Kuchomesha mechi kadhaa za Ligi na hata Mchezo wa jana Kucheza vibaya sasa baadhi ya Watu wanaanza Kunielewa kwani Jicho langu la Kiuchambuzi halijawahi Kukosea pale nikizungumzia Jambo fulani.

Vile vile kabla ya Usajili wa Msimu huu na hata Kipindi cha Usajili wa dirisha Dogo nilionya kuwa Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji afanye Usajili wa maana na siyo tu wa Kibahili na wa 'shaghala bhaghala' kama walioufanya sikueleweka lakini kwa muenendo wa Simba SC wa sasa ( hasa Kimashindano ) iwe ni ya Ndani au ya Nje naamini sasa naanza Kueleweka.

Kwa ilikofikia Simba SC Wachezaji kama Pascal Wawa, Saido Kanoute na Chris Mugalu ( kwa Wageni ) hawakutakiwa kuendelea kuwepo Simba SC ila kwakuwa bado Simba SC kuna ule Uswahili wa 10% Wachezaji hawa bado wapo Klabuni na Kuonekana kuwa wana Umuhimu wakati binafsi Umuhimu wao Simba SC sijauona.

Nilishauri hapa hapa JamiiForums kuwa Uongozi wa Simba SC ama uachane na Kipa Namba Mbili Beno Kakolanya na imtoe kwa Mkopo Kipa wake Kinda Ally Salim ili nafasi zao waletwe Makipa Wawili mahiri wa Kigeni na Mzawa ila kumpa Ushindani Kipa Aishi Manula na pia kumfanya awe na 'back up' nzuri pindi akipatwa na dharula lakini halikufanyika Matokeo yake sasa Wana Simba SC wote Siku Kipa Aishi Manula akikosekana na Wakadaka wengine Sisi Mashabiki muda wote Roho zetu huwa zinadunda tu huku ama tukibana au tukishika tu Pumbu zetu kwa Imani ya Kipumbavu kuwa ndiyo hatutofungwa wakati Kiuhalisia Kufungwa kupo pale pale.

Sitaki kuwataja Wachezaji wa Ndani kwani nitapatwa tu na Hasira bure ila itoshe tu kusema kuwa 75% ya Wachezaji Wazawa walioko Simba SC hii ya sasa hawana Hadhi ya Kuichezea Simba SC na hawatakiwi hata kuendelea kuwepo, ila wameachwa kwa Uwoga wetu wa Kipuuzi kuwa Simba SC ikiwaacha ( ikiwatema ) basi Watahamia kwa Mahasimu wetu Yanga SC na watakuja kuwa Mwiba Mchungu Kwetu.

Namalizia tu kwa kusema kwamba kuna tofauti moja tu ya Kiufundi kati ya Usajili uliofanywa na Yanga SC na wa Simba SC. Yanga SC wamesajili Wachezaji wa Kazi na Matokeo huku Simba SC imesajili Wachezaji wa Kimazoea, wa bahati nasibu na wa Kupiga Selfies huku wakishinda Mitandaoni muda wote kutafuta Followers tu.

Simba SC inawahitaji Wachezaji wa Kigeni wenye ama Uwezo sawa na Mchezaji Victorien Adebayor wa US Gendamarie FC ambao ni 'Complete Players' na kanwe si hawa wa 10% na wa Kubahatisha.

Na Sitoshangaaa Yanga SC wakiwa Mabingwa wa 2021 / 2022 NBC Premier League kwani wana Wachezaji ambao hata kama ukiwa ni mwana Simba SC lia lia kama Mimi utavutiwa nao na utafurahi pia Kuwatizama wakiwa Wanaupiga mwingi kama Aucho, Bangala, Saido na Mayele.

Simba SC tulikosea sana katika Kusajili.

Cc: Daudi Mchambuzi
Bado mambo ni yaleyale tu.
 
Kama Uongozi wa Simba SC na 'Scouting Team' ya Simba SC itakuwa tayari basi itupe Sisi JamiiForums Football Pundits na Watu wenye Maono Makali Jukumu la Kuwaambia ni Wachezaji gani Wazuri na Mahiri wanafaa Kuichezea Simba SC yetu kwa Msimu ujao.

Wengine uzuri wetu hatuishii tu Kuuchambua au Kuuroga au kuufanyia Umafia Mpira wa Bongo ( Tanzania ) lakini pia hata Mpira wenyewe nao tumeucheza, tunaujua na enzi zetu tulikuwa Mahiri hivyo tukikuambia kuwa Mchezaji fulani anafaa na fulani hajui tuamini kwa 99.9999%.

Niliwahi kuja hapa na Uzi wa kwanini Simba SC iliachana na Said Ndemla na Kumsajili Saido Kanoute sikueleweka na wasioujua Mpira na leo ukosoaji wangu kwa Kanoute ndiyo unaeleweka.

Niliwahi kuja na Uzi hapa hapa kuwa hakukuwa na haja ya kuachana na Mchezaji Perfect Chikwende na Kumsajili Kinda Peter Banda kama kawaida sikueleweka ila leo baadhi ya Watu wanaanza Kunielewa.

Niliwahi hapa hapa JamiiForums kuja na Uzi wa Kumsema Beki Henock Inonga Baka kuwa ana Utoto mwingi, Upuuzi, Sifa za Kijinga, mtaka Attention za Kipumbavu, ana Dharau na kwamba pamoja na kwamba ana Kipaji Kikubwa ila aambiwe upesi ili abadilike kwani atakuja Kutugharimu sikueleweka lakini baada ya Kuchomesha mechi kadhaa za Ligi na hata Mchezo wa jana Kucheza vibaya sasa baadhi ya Watu wanaanza Kunielewa kwani Jicho langu la Kiuchambuzi halijawahi Kukosea pale nikizungumzia Jambo fulani.

Vile vile kabla ya Usajili wa Msimu huu na hata Kipindi cha Usajili wa dirisha Dogo nilionya kuwa Mwekezaji wa Simba SC Mohammed Mo Dewji afanye Usajili wa maana na siyo tu wa Kibahili na wa 'shaghala bhaghala' kama walioufanya sikueleweka lakini kwa muenendo wa Simba SC wa sasa ( hasa Kimashindano ) iwe ni ya Ndani au ya Nje naamini sasa naanza Kueleweka.

Kwa ilikofikia Simba SC Wachezaji kama Pascal Wawa, Saido Kanoute na Chris Mugalu ( kwa Wageni ) hawakutakiwa kuendelea kuwepo Simba SC ila kwakuwa bado Simba SC kuna ule Uswahili wa 10% Wachezaji hawa bado wapo Klabuni na Kuonekana kuwa wana Umuhimu wakati binafsi Umuhimu wao Simba SC sijauona.

Nilishauri hapa hapa JamiiForums kuwa Uongozi wa Simba SC ama uachane na Kipa Namba Mbili Beno Kakolanya na imtoe kwa Mkopo Kipa wake Kinda Ally Salim ili nafasi zao waletwe Makipa Wawili mahiri wa Kigeni na Mzawa ila kumpa Ushindani Kipa Aishi Manula na pia kumfanya awe na 'back up' nzuri pindi akipatwa na dharula lakini halikufanyika Matokeo yake sasa Wana Simba SC wote Siku Kipa Aishi Manula akikosekana na Wakadaka wengine Sisi Mashabiki muda wote Roho zetu huwa zinadunda tu huku ama tukibana au tukishika tu Pumbu zetu kwa Imani ya Kipumbavu kuwa ndiyo hatutofungwa wakati Kiuhalisia Kufungwa kupo pale pale.

Sitaki kuwataja Wachezaji wa Ndani kwani nitapatwa tu na Hasira bure ila itoshe tu kusema kuwa 75% ya Wachezaji Wazawa walioko Simba SC hii ya sasa hawana Hadhi ya Kuichezea Simba SC na hawatakiwi hata kuendelea kuwepo, ila wameachwa kwa Uwoga wetu wa Kipuuzi kuwa Simba SC ikiwaacha ( ikiwatema ) basi Watahamia kwa Mahasimu wetu Yanga SC na watakuja kuwa Mwiba Mchungu Kwetu.

Namalizia tu kwa kusema kwamba kuna tofauti moja tu ya Kiufundi kati ya Usajili uliofanywa na Yanga SC na wa Simba SC. Yanga SC wamesajili Wachezaji wa Kazi na Matokeo huku Simba SC imesajili Wachezaji wa Kimazoea, wa bahati nasibu na wa Kupiga Selfies huku wakishinda Mitandaoni muda wote kutafuta Followers tu.

Simba SC inawahitaji Wachezaji wa Kigeni wenye ama Uwezo sawa na Mchezaji Victorien Adebayor wa US Gendamarie FC ambao ni 'Complete Players' na kanwe si hawa wa 10% na wa Kubahatisha.

Na Sitoshangaaa Yanga SC wakiwa Mabingwa wa 2021 / 2022 NBC Premier League kwani wana Wachezaji ambao hata kama ukiwa ni mwana Simba SC lia lia kama Mimi utavutiwa nao na utafurahi pia Kuwatizama wakiwa Wanaupiga mwingi kama Aucho, Bangala, Saido na Mayele.

Simba SC tulikosea sana katika Kusajili.

Cc: Daudi Mchambuzi
Bado Yanga atakua bingwa tena 2023/24 kazi mnayo huko kolokoloni
 
Bado Yanga atakua bingwa tena 2023/24 kazi mnayo huko kolokoloni
Ndio kusema kule CAFCC umeshasurrender sasa umerudi huku NBCL? Mwarabu hana adabu aiseee, unasawazisha goli moja kisha kabla vibe halijaisha anakukanda goli la 2, aibu iliyoje hii?
 
Back
Top Bottom