Elections 2010 Ni Matokeo ya Uchaguzi au Ni Mengi?

Elections 2010 Ni Matokeo ya Uchaguzi au Ni Mengi?

kiraia

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2007
Posts
1,716
Reaction score
1,006
Ndugu wana JF, kuhamishwa kwa Mkuu wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa, kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Charles Mkumbo kwenda makao makuu na pia kuhamishwa kwa makamanda wa Shinyanga, Arusha, Morogoro na Kinondoni kuna uhusiano na uchaguzi au ni malalamiko ya Mengi yamefanyiwa kazi? source IGP Mwema apangua makamanda
 
Matei alihandle vizuri ile issue ya raia kudai matokeo.
 
Hili la Matei Inaweza kuwa inatokana na mchakato wa kutangazwa matokeo. Ni yeye ndiye aliyeforce matokeo yatangazwe kama yalivyo, kutokana na umati wa watu uliofurika kusubiri matokeo kuwa vijana wake wasingeshindana nao. Hata hivyo, indeep Matei ni mwanamageuzi.
 
Lazima kuna ukweli fulani kutoka madai ya Mengi
 
Mungi, jibu limejitosheleza kiasi. Nifahamishe kidogo, uanamageuzi wake ni kwa sura hiyo moya ya shinikizo la watu wengi kudai matokeo yatangazwe mara moja kama yalivyo au kuna na data nyinginezo za kuweza kukolezea utamu walau??
 
Lazima kuna ukweli fulani kutoka madai ya Mengi

Mbona ile tume aliyounda IGP mwema haijatupatia majibu? au hiyo tume inaendelea kutafuna pesa ya walipa Kodi!
 
Tume huundwa kwenye management twasema POSTPONEMENT OF AGITATIONS jazba ikishuka hamna majibu wala report watu wanakuwa washakula ela
 
Tume huundwa kwenye management twasema POSTPONEMENT OF AGITATIONS jazba ikishuka hamna majibu wala report watu wanakuwa washakula ela

Hivi tume ikiundwa si inapewa muda? kama waliytutangazia kwamba wameunda tume kwanini wasitutangazie kuwa tume imetoa majibu?
 
Back
Top Bottom