OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Hello I miss you!!Hivo vipensi vinavyoishia juu ya magoti wanaume wa dar wanavivaa sana. Na chini wanavaa vile visendo vya adidas au Gucci.
Ila wanaume wa dar wana mapaja😂😂😂paja paja.
Umerudisha lile jina[emoji8].Hello I miss you!!
Habari zenu?
Mashoga wengi huku Temeke wanavaa pensi za jinzi .
Mara nyingi hizi pensi zao zinakuwa na sifa zifuatazo;
- Fupi (hazivuki magoti)
- Zinabana mwili
- Zimetoboka au kuchanika mapajani.
Sasa Mimi nimeanza kuconclude kuwa kila kijana ninayekutana naye barabarani amevaa hivi najua ni shoga.
Note: Ukimla shoga nawewe jiandae kumzaa shoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivo vipensi vinavyoishia juu ya magoti wanaume wa dar wanavivaa sana. Na chini wanavaa vile visendo vya adidas au Gucci.
Ila wanaume wa dar wana mapaja[emoji23][emoji23][emoji23]paja paja.
Bora hata uwaambie, wajue.Ngumu kumjua shoga kwa mavazi kwa kuwa wengi hawapendi kudhihirisha sexuality yao.
Kwa hiyo nakushauri usigeneralize kuwa wavaa vipensi vya jinsi ni mashoga.
Noted: Ukila shoga na wewe utazaa shoga.
Tena hawana wanalolijua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza vaa hiyo pensi ya juu ya magoti na vindala na bado akawa lijali pia anaweza vaa kombati ama zinga moja la suruali na akawa shoga, hayo mambo hayana formula. Shoga anajulikana pale ambapo kainamishwa tu ila huku kwingine ni kuotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbali na mavazi ni hatari sana kwa kijana wa kienyeji kuzungumza katikati ya mazungumzo na kupachika neno "Kwio"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jomoneeeej khaaaah.Mashoga wengine ngangari mjombaa!yuko mmoja ananisumbua kinoma na ni mtu ana familia na watoto.mi sina papara nae napiga vizinga tuu.yaani huyu jamaa nashangaa sana chatting zake huwa napata ukakasi ila ndo ivyo napiga klachi tuu mara nitumie picha ya paipu namtumia.ukiakaa kidogo laki hiyo.
Ni hivyo tuu shida hizi lakin ishu ya kumpasua namkwepa sana sababu jamaa kakaa kiumeni ila shida ndo sio rizki tena.ilifkia wakati ananiambia km vipi tafuta dem ambae muelewa chukua room afu mi nakuja ili utupasue wote(bisexual)sbb nilimwambia mi sijawahi kula msela ila jamaa anavyoniganda hd akaamua ili ikiezekana nichukue dem atalipia kila kitu hvyo wakati nachapa manzi nichomoe nimchomekee yeye hivyo nitaanza kuzoea.daahhh huwa hadi kutapika
Cc wa damu, mic u moaaaah. [emoji7][emoji7][emoji7]Ubaya wa sikuhizi hata hao wavaa suti na mayenu nao ni mashoga.
Hizo ulizomention hapo juu kwangu si kigezo za kuhisi ushoga.
Mumeeeeh ake [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] mic u moaaahShoga utamtambua pale mwanaume mwenye ndevu zake akitembea yupo busy kukazia macho wanaume wenzie na kuwachunguza kuhusu mavazi yao, kama hua unafanya hayo tambua wewe ni shoga ila bado hujajikubali vile ulivyo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] unawafanya kama jina lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda cyo mrefu mtu ataanzisha Uzi ..Wale walio kula mashoga tukutane hapa[emoji16][emoji16][emoji16] watoe ushuhuda mnk huku naona huku Kila mtu anakatah
Upo kijana, nilikumiss mbaya kabisa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jomoneeeej khaaaah.
Pesa zake unakula? Soon kitakukuta kitu mweeeeeh.
Ngumu kumjua shoga kwa mavazi kwa kuwa wengi hawapendi kudhihirisha sexuality yao.
Kwa hiyo nakushauri usigeneralize kuwa wavaa vipensi vya jinsi ni mashoga.
Noted: Ukila shoga na wewe utazaa shoga.
Unaweza vaa hiyo pensi ya juu ya magoti na vindala na bado akawa lijali pia anaweza vaa kombati ama zinga moja la suruali na akawa shoga, hayo mambo hayana formula. Shoga anajulikana pale ambapo kainamishwa tu ila huku kwingine ni kuotea
Hivyo vipensi vya jeans "mabroo" wengi tunavaa mbona , jumlisha na Form six, Sandler's simple na funguo za gari tunaning'iniza kwa mbele.
Nimesahau, huwa iphone zetu hatuweki mfukoni, hazitoshei kabisa.