Ni mavazi gani unaweza vaa siku ya kwanza kukutana na mpenzi wako?

Ni mavazi gani unaweza vaa siku ya kwanza kukutana na mpenzi wako?

Abaya (baibui)na hijabu yangu with simple shoes and a small handbag. Vitu km pete, saa ndg ya mkononi, cheni ndg shingoni vinaongeza mvuto. So like that is enough for me..
Naam! Kama upo akili mwangu.
 
Abaya (baibui)na hijabu yangu with simple shoes and a small handbag. Vitu km pete, saa ndg ya mkononi, cheni ndg shingoni vinaongeza mvuto. So like that is enough for me..
asee mpaka nimetamani tukutane
umependeza kimaandishi tu, spat picha sasa ukionekana
 
Surual ya kadet na shati ya draft au kalinen fulan na sendoz za ngozi sio mbaya... Kwa mwanaume
 
Mimi ningevaa hivi sababu ndio mavazi yangu
2d0c5a7f3bdcf676c667aaa59134671e.jpg

Ila those glasses no thank you
 
jeans nzuri ( isiwe ya special dukani iwe mtumba classic) t- shirt ya special ( isiwe mtumba), saa nzuri yenye mikanda ya leather ila hata aina nyingine sio mbaya, usivae ma- miwani ya kuchomelea mageti, vaa kiatu ukipendacho ila isiwe buti ndefu, be moderate piga unyunyu ( body spray) wa kawaida.
usivae ma- cheni kama minyororo ya kufungia mbwa, au yale ya 50cent, ingekusaidia zaidi ungekuwa tall maana wanawake/wasichana wanarubunika haraka sana na mameni tall,

#NB. kumbuka kuijaza wallet yako yale mshetani mekundu ( pesa isipungue 150,000),.....hii itakusaidia sana kama huyo m/mke atahitaji kinywaji au chakula cha ghalama ( ili usianze kusema kuku choma ni wabaya kiafya),...usiwe bwege jitahidi urudi na angalau 70...au 80..nyumbani

Jitahidi umgegede siku chache au siku hiyohiyo halafu mteme ( la sivyo atakuchuna sana)
USIAZIME GARI la Mtu..

by Saguda47...kutoka mkoani

Umeua mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi nilivaa uniform za shule ya msingi. Wewe vaa hata za secondary kamavipi
 
Wanawake wengi mnavutiwa sana na wanaume wakivaa kadet eeenh?

Mimi hapana aiseeh.

Mi mwanaume atanichanganya zaidi na nitamfurahia kumuona akivaa [emoji158]kali na tshirt nyeupeee..na hivi viatu flani hiviiii ambavyo popote unaweza kuvivaa.wanaume watanielewa.asisahau saa,unukie aiseeh.. jaman halafu awe na short hair uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nafwa mie huku.asiwe na maneno mengi uwiiiiiiiiiiiiiiiiii nafikiri nitamtengeneza mwenywe kwa kweli [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kwa mimi mdada sasa nivae kigauni (rangi isiwe ya kung'a hapana iwe ya kupoa lkn yenye kukufanya uonekane vizur) cha heshima sio kifupi wala kirefu kivuke maggoti kidogo sanaa,visimpo vyangu,saa mkononi,kunukia lazima,kichwa kikiwanachuro itakuwa bomba mbaya.nikiwa na hela yangu nitakuwa na aman zaidi[emoji16][emoji16].ahaaaa mimi nae nimezidi ngoja niishie hapa hapa[emoji41]
 
Mimi hapana aiseeh.

Mi mwanaume atanichanganya zaidi na nitamfurahia kumuona akivaa [emoji158]kali na tshirt nyeupeee..na hivi viatu flani hiviiii ambavyo popote unaweza kuvivaa.wanaume watanielewa.asisahau saa,unukie aiseeh.. jaman halafu awe na short hair uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nafwa mie huku.asiwe na maneno mengi uwiiiiiiiiiiiiiiiiii nafikiri nitamtengeneza mwenywe kwa kweli [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kwa mimi mdada sasa nivae kigauni (rangi isiwe ya kung'a hapana iwe ya kupoa lkn yenye kukufanya uonekane vizur) cha heshima sio kifupi wala kirefu kivuke maggoti kidogo sanaa,visimpo vyangu,saa mkononi,kunukia lazima,kichwa kikiwanachuro itakuwa bomba mbaya.nikiwa na hela yangu nitakuwa na aman zaidi[emoji16][emoji16].ahaaaa mimi nae nimezidi ngoja niishie hapa hapa[emoji41]
Mmmm T-shirt nyeupe mm sio mpenz wa hz rangi aisee, hy inategemea na rangi ya mtu. Mm ya kijivu flan hv iwe cotton nzito, jeans ya chambuo km unazielewa halafu chini raba simple, mkonon saa isikosekane..maunyunyu nina utaalamu nayo kitamboo sijawah kosea..hp lazima udate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuhusu mkwanja isipungue laki 2, ili mtoto akihitaj chochote naweza mpatia
 
Mmmm T-shirt nyeupe mm sio mpenz wa hz rangi aisee, hy inategemea na rangi ya mtu. Mm ya kijivu flan hv iwe cotton nzito, jeans ya chambuo km unazielewa halafu chini raba simple, mkonon saa isikosekane..maunyunyu nina utaalamu nayo kitamboo sijawah kosea..hp lazima udate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuhusu mkwanja isipungue laki 2, ili mtoto akihitaj chochote naweza mpatia
Hapo lazima mtu aingie kingi.aise mi kwangu mwanaume akipiga t-shirt nyeupe nzito na hvyo vingine...lazima nifurahi kwa kiwango cha lami
 
Hapo lazima mtu aingie kingi.aise mi kwangu mwanaume akipiga t-shirt nyeupe nzito na hvyo vingine...lazima nifurahi kwa kiwango cha lami
Kuna kamwonekano fulan hv amaizing lazima mrembo yyt adate
 
Back
Top Bottom