Basi una mawazo tafta Ben 10 mkarefleshNatoa
Sasa ntafanya na nani mkuu na babe yuko mbali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umenichekesha sana
Anhaa kumbe sadaka.Natoa
Wakunyumba ebu tafuta shemela tu unaelekea kuwa chizi ujue genye zikizidi nazo ni tatizo
Vipiii tena jaman huoni ni tatizo hilo hata kama mawazo sio kihivyo
Vipiii tena jaman huoni ni tatizo hilo hata kama mawazo sio kihivyo
Sina tatizo la nyege mie kila siku nailalia wakunyumba uzi wake alisema ana miaka kadhaaUsije ukawa umekopi na kupesti tatizo lako
Sina tatizo la nyege mie kila siku nailalia wakunyumba uzi wake alisema ana miaka kadhaa
Sio jamaa hamwamini yule jamaa ana mwanamke mwingineHuyu si alisema ana jamaa hamwamini majuzi tu
Sio jamaa hamwamini yule jamaa ana mwanamke mwingine
Haamini lakini pia ana mwanamke mwingine mpaka akamuombea mabaya nakumbuka ule uziAlisema jamaa yake anasema haamini kama mwanamke kama yeye anaweza kuwa wake ni mzuri sn