Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikubali tu ulivo..kuna watu wanamiguu myembambaaa sn ila wana mvuto balaa
Mi Nina miguu minene ila sioni km ni wa maana kuliko asiye nao,,,,Kama ww
Mi Nina miguu minene ila sioni km ni wa maana kuliko asiye nao,,,,
Hahaaaa,,,daaa,,,. Matangazo??Hebu nione
Kwani nkiona mm inakuwa matangazo jamani?!Hahaaaa,,,daaa,,,. Matangazo??
.inawezekana ushaniona kitaa ukageuza shingo( joke)
Sio kweli dia wema ana shape ila mguu chenga natamani nimkatie wangu, hilo zoezi halijazi mguutehe tehe tehe sidhani wanaofanya naona wanapata matokeo mazuri
Sio
Sio kweli dia wema ana shape ila mguu chenga natamani nimkatie wangu, hilo zoezi halijazi mguu
We jamaa umenifanya nicheke kishamba saana niko kwa gari mpaka abiria wenzangu wamenishangaaMkuu hatakuwa na kigimbi...nashukuru Mungu nina guu la bia...
ifunge kwa kamba iliyokaza sana kwa chini kama kikuku. Kisha kaa siku tatu bila kufungua.
May be maana Nina shoga yangu ana shape matata ya maxoezi just squats tu ila mguu mpaka anaona keroo amejaribu kujua nizoezi gani la kuongexa mguu kakosabasi kama halijazi mguu litakuwa linapunguza kiazi maana wanaofanya wanapata matokeo mazuri
tehe tehe tehe duuhMay be maana Nina shoga yangu ana shape matata ya maxoezi just squats tu ila mguu mpaka anaona keroo amejaribu kujua nizoezi gani la kuongexa mguu kakosa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ifunge kwa kamba iliyokaza sana kwa chini kama kikuku. Kisha kaa siku tatu bila kufungua.
Dona ngoja nije pm maana guu la bia ndio ugonjwa wanguMkuu hatakuwa na kigimbi...nashukuru Mungu nina guu la bia...