Ni mazoezi gani yanayojaza mguu?

Ni mazoezi gani yanayojaza mguu?

Jikubali tu ulivo..kuna watu wanamiguu myembambaaa sn ila wana mvuto balaa
 
Hahaaaa,,,daaa,,,. Matangazo??
.inawezekana ushaniona kitaa ukageuza shingo( joke)
Kwani nkiona mm inakuwa matangazo jamani?!


Nikagueza shingo kukaga na booty [emoji23][emoji23]


Naomba nione
 
Mrejeshooo..Much thank you to you [HASHTAG]#Lin[/HASHTAG] nimefata as u said na matokeo nimeanza kuyaona,ahsante sanaaaa!
 
Sio

Sio kweli dia wema ana shape ila mguu chenga natamani nimkatie wangu, hilo zoezi halijazi mguu

basi kama halijazi mguu litakuwa linapunguza kiazi maana wanaofanya wanapata matokeo mazuri
 
Jamaa yangu usijidanganye kabisa kama ulizaliwa hivo we ndo hivyo tu kwisha habari yako kwami hujawqhi kuku tana na majitu fulani hivi maneneeeeee lakini yana migu miembamba ? Hapo ndipo utaamini kwamba ukizaliwa na miguu myembemba basi we agana na bukta tu kwisha habari yako.
 
basi kama halijazi mguu litakuwa linapunguza kiazi maana wanaofanya wanapata matokeo mazuri
May be maana Nina shoga yangu ana shape matata ya maxoezi just squats tu ila mguu mpaka anaona keroo amejaribu kujua nizoezi gani la kuongexa mguu kakosa
 
Vitu vingine hata haviwezekani ila ni kujipa moyo tu, kama umejaaliwa mlonjo basi tena ndio wako huo.
 
Back
Top Bottom