Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Katika mkoa ninaoishi( Iringa) mbegu ya mahindi inayofanya vizuri sana ni Dk 777, ikifuatiwa na DK 9089, japo mbegu za kampuni ya seedco namba 409 na 403 zinajitahidi pia. Hii ni kulingana na utafiti wangu binafsi.Vipi katika mkoa unaoishi ni mbegu zipi zinafanya vizuri?