barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Sio chini ya Wenger.Labda atatoboa kupitia Eupora league
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chini ya Wenger.Labda atatoboa kupitia Eupora league
Sasa anakataa paundi 60 kisha anauza kwa 25, hesabu kali sana hizi.mwenye timu ameshanukuliwa akisema hakuinunua arsenal ili ishinde vikombe, Wenger anachofanya ni kukuza vipaji vya kuuza, alijitutumua kumtaka Lemar lakini ulikuwa kama usanii fulani. Tukimtupa watamchukua Psg au real madrid.
Wenger ni arsenal ya kronke pekee ndio inayoweza mvumilia, madrid rais wao hatakagi ujinga, hata simba wenger havumiliki.Ila Management ya Arsenal ni wavumilivu sana
Right angekua Chelsea mmmmmh
Ila anaweza pata kazi Madrid
Akina nani ?Kwa taarifa yako Arsenal wachezaji kibao na nyota wanapenda kuichezea hadi sasa...
sio watulivu mkuu, wanaridhika na timu ukilinganisha na uwejezaji uliopo, arsenal, wakati mourinho ananung'unika £300m hazitoshi kumpa ubingwa epl, Wenger anapita akitamba kuwa anaweza kununua mchezaji yoyote jwa £150m!Ila Management ya Arsenal ni wavumilivu sana
Right angekua Chelsea mmmmmh
Ila anaweza pata kazi Madrid