Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Alikuwa na mkigoma mwenzake bajanaMzamiru yassin selembe kiungo Punda.
Kigoma Moja.
Hawa wamanyema ni mwisho WA Reli.
ohJana mchezaji mmoja tu wa Tanzania kacheza kuliko wote na ndiye ametuvusha hatuwa hii:
Mama Samia ndiye aliyeucheza mpira wa jana. Kacheza peke yake, tumpe mauwa yake.
Acha kujisifia ujinga wewe!Jana mchezaji mmoja tu wa Tanzania kacheza kuliko wote na ndiye ametuvusha hatuwa hii:
Mama Samia ndiye aliyeucheza mpira wa jana. Kacheza peke yake, tumpe mauwa yake.
Alikuwa anacheza namba ngapi huyo samia?Jana mchezaji mmoja tu wa Tanzania kacheza kuliko wote na ndiye ametuvusha hatuwa hii:
Mama Samia ndiye aliyeucheza mpira wa jana. Kacheza peke yake, tumpe mauwa yake.
Huwa tunawaambia huyu Ajuza kipa katoka mnamtetea. Haya Sasa bado mnabisha kuhusu ubovu wa Afya wake ya akili?Jana mchezaji mmoja tu wa Tanzania kacheza kuliko wote na ndiye ametuvusha hatuwa hii:
Mama Samia ndiye aliyeucheza mpira wa jana. Kacheza peke yake, tumpe mauwa yake.
Jana mchezaji mmoja tu wa Tanzania kacheza kuliko wote na ndiye ametuvusha hatuwa hii:
Mama Samia ndiye aliyeucheza mpira wa jana. Kacheza peke yake, tumpe mauwa yake.
Kibu alitisha sana pale mbeleJana tumeshuhudia mchezo wa kiume kweli kweli kati ya Taifa Stars na wenyeji Algeria. Wachezaji wa Taifa Stars jana wameipigania Bendera ya nchi yao kweli kweli, pamoja na Algeria kusheheni mastaa lakini Taifa Stars walilipambania lengo lao mpaka filimbi ya mwisho ya Refa.
Kwa mtazamo wako, ni mchezaji gani jicho lako halikutoka kwake na muda wote alikuwa akiwa na mpira ulikuwa unatabasamu?
View attachment 2742922
#solomatv_updates