Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 756
Nafikiri wakitajwa watu wazima watoke, nami naweza kutoka mbele. Miaka 30 sio mchezo aisee
OK TUYAACHE HAYO.
Aisee naomba ushauri kidogo katika suala la kupata elimu kidogo ya kujilinda binafsi walau unapopata dharura upate angalau upenyo wa kukimbia.
Kuna jamaa yangu mmoja (MJEDA) nilimuuliza kuhusu hili lakini alinizunguusha zunguusha mpaka akanipotezea. (Sasa sijui ndo Sheria haziruhusu au nnn?)
Nimekona nilete shauri langu huku,
Je?
Ni sanaa gani nzuri ya mapambano ambayo Kwa mtu mzima kama Mimi anaweza fundishwa na kupata angalau moja mbili.
KWANINI NIMEOMBA USHAURI JUU YA HILI?.
Aisee nimeshuhudia vijana wawili wenye mbavu nene baada ya kushiba bia na kuku, wakizichapa kavu kavu Kwa muda unaozidi dakika 5, Aisee nilihuzunika pale ambapo mmoja alibahatika kuwekwa roba mpaka almanusura kukata pumzi kama sio wasamaria wema kumuokoa.
Leo kwa mwenzako, kesho yaweza kuwa kwako. Kibano alichopewa jamaa kile laiti ningekuwa Mimi na haka kamwili kangu huenda ningepoteza maisha.
Nikaona kuna haja ya kujua chochote kuhusu kujilinda dhidi ya adui.
Na watu wenye miili myembamba wanaweza kupata mafunzo akaja akamkalisha mtu mwenye 6 park / mwili wa mazoezi??
Aisee naomba ushauri juu ya hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK TUYAACHE HAYO.
Aisee naomba ushauri kidogo katika suala la kupata elimu kidogo ya kujilinda binafsi walau unapopata dharura upate angalau upenyo wa kukimbia.
Kuna jamaa yangu mmoja (MJEDA) nilimuuliza kuhusu hili lakini alinizunguusha zunguusha mpaka akanipotezea. (Sasa sijui ndo Sheria haziruhusu au nnn?)
Nimekona nilete shauri langu huku,
Je?
Ni sanaa gani nzuri ya mapambano ambayo Kwa mtu mzima kama Mimi anaweza fundishwa na kupata angalau moja mbili.
KWANINI NIMEOMBA USHAURI JUU YA HILI?.
Aisee nimeshuhudia vijana wawili wenye mbavu nene baada ya kushiba bia na kuku, wakizichapa kavu kavu Kwa muda unaozidi dakika 5, Aisee nilihuzunika pale ambapo mmoja alibahatika kuwekwa roba mpaka almanusura kukata pumzi kama sio wasamaria wema kumuokoa.
Leo kwa mwenzako, kesho yaweza kuwa kwako. Kibano alichopewa jamaa kile laiti ningekuwa Mimi na haka kamwili kangu huenda ningepoteza maisha.
Nikaona kuna haja ya kujua chochote kuhusu kujilinda dhidi ya adui.
Na watu wenye miili myembamba wanaweza kupata mafunzo akaja akamkalisha mtu mwenye 6 park / mwili wa mazoezi??
Aisee naomba ushauri juu ya hili.
Sent using Jamii Forums mobile app