Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Siyo kweli huyo ni sawa na admin wa group la WhatsApp hana mamlaka yoyote, uliwahi kuona hata amemsimamisha Askofu au kumteua? hama mamlaka yoyote kwenye jimbo la mwingine, wote wanaripoti kwa PapaRais wa TEC ni Kiongozi wa MAASKOFU.