Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe imani unaiweka kwa watu au kwa Mungu?Karibuni wakuu
Daah, nampataje huyu mtumishi? Anitoe pepo jamani?.Mchungaji Irine Uwoya
We anza kwa mchungaji Mashimo kwanzaDaah, nampataje huyu mtumishi? Anitoe pepo jamani?.
sio kila mchungaji anaweza kukuponya wengine wajafikia crown ya nyota.ila unaweza kuombewa na yoyote ambaye nyota yake itaweza kuitibu nyota yakoKaribuni wakuu
Mimi nataka wachungaji wa kike tu mkuu, ndiyo neno linapenya vizuri.We anza kwa mchungaji Mashimo kwanza
Msijisumbue kwa neno lolote isipokuwa kusali na haja zenu zijulikane na MUNGUKaribuni wakuu
kuna wachawi humu na kikundi maalumu sio sehemu ya kumwaga mchele kuweka waziFafanua zaidi mtaaalam
Warumi 1:28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.Msijisumbue kwa neno lolote isipokuwa kusali na haja zenu zijulikane na MUNGU