Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yanga 0 - 5 simba.
Stand Utd 1-Mbumbumbu fc 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga 0 - 5 simba.
Ndala 0 Simba Sc 5
1.Mechi ya Man U 8-2 Arsenal
2.LFC 3-3 Man U ,Man U mpaka half time alikuwa anaongoza kwa goli 3 LFC karudisha yote nilikuwaje mdogo.
3. Germany vs Cameroon enzi za kina G.Song WC 2012 mechi hii ilikuwa na ubabe si mchezo kadi zilitembea kama mvua, Germany alishinda.
4.WB 1-0 Man U 2015 nililia kabisa nikatukana matusi kweli kweli na sijui niliyatoa wapi.
Umenikumbusha machungu ya usiku ule maana si kulala kabisa na tokea hapo chuki yangu kwa Suarez hata aje kuwa katika ubora gani haitaondoka.
mkuu umenikumbusha barabara ya morogoro roadTabora Boys Sec vs Milambo Sec
Sitosahau vurugu ile uwanja Ally Hassan Mwinyi Stadium kisa Tabora girls
Tabora Boys Sec vs Milambo Sec
Sitosahau vurugu ile uwanja Ally Hassan Mwinyi Stadium kisa Tabora girls
Chelsea 3-2 barca! Nusu fainali ya pili UEFA mwaka ule chelsea walibeba ndoo ya UEFA!
chelsea hakucheza na bayer fainal uefaYanga 3-3simba mwaka juzi..! chelsea 1- bayer 1 fainal ya mwaka juzi Uefa.
Tottenham 5-0 chelsea Epl msimu ulio pita.. ivory coast 9-8Ghana fainal CuF 2014
Liverpool na AC Milan finale Uefa champion, 25 May 2005
Mechi kati ya Chelsea na manchester united mwaka1999, wakati huo man ilikuwa man kweli! Lakini man siku hiyo iliangukia pua, ilipigwa goli 5-0! Hiyo ndiyo chelsea, wale wanaodhani chelsea ilianzia kutamba baada Abramovich kuinunua watakuwa ni watoto wa juzi sana!
Man Utd vs Bayern Munich...1999 was a night to remember
Yanga 0 - 5 simba.