Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Media nyingi inategemea na aina ya kipindi ambacho unategemea kupitishia matangazo yako.
Azam Tv wanapoonyesha mechi ya simba vs yangu naskia gharama ya tangazo moja ni 10m+
Mechi za kawaida tangazo moja ni 3m+
Hvy hvy pia kwenye media zinginezo
Azam Tv wanapoonyesha mechi ya simba vs yangu naskia gharama ya tangazo moja ni 10m+
Mechi za kawaida tangazo moja ni 3m+
Hvy hvy pia kwenye media zinginezo