Kwa nature ya biashara yangu ya vipuli vya magari kwa Whatsapp Huwa napost ila sipati positive impact kutokana na kwamba asilimia kubwa ya viwers wangu hawana magari
Kwa upande wa facebok ndo Sjawahi kujaribu na Sina hata account 😄
Ila kwa ushaur wako mzuri nitafanya hivo
JE kwa nature ya biashara yangu nipeleke tangazo kipindi gani kwa hizo radio ulizotaja?