Ni member(s) gani wa JF ungependa kukutana naye

Habari ndugu yangu. Mimi nipo sema mara nyingi nakuwa nje ya nchi. Tz nikija nakaa si zaidi ya miezi miwili.ndo maana sometime inakuwa ngumu kuonana na wadau.but nikiwepo mchana tunaweza onana katika zile hotels zilizopo katikati ya jiji.mara nyingi napata lunch huko sababu ndo naona angalau mazingira ya hizo hotels ni safi na salama.

Ntakuja early of january tutaonana....mnatunyima nini huko?


 
[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka yangu Kiduku Lilo usisahau ulisema ukija utanitafuta uninunulie hata mishkaki miwili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USSR ukimfahamu utacheka sana jamaa tangu ahitimu pale Patrice Lumumba university enzi wa Boris Yeltsin hajaacha ubabe kitaa


Kufahamiana ni chanzo cha kutekana I wish kumteka kiranga


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Wish umteke Kiranga umpeleke huko Kigoma akajionee watu wanapanda mkeka ziwani hadi Congo

Distributed Denial-of-Service
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…