mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Kuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi
Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa Bia yetu aisee huyu jamaa ni shida hadi saivi anawastani wa comment 10.2 kwa kila saa it means ni comment 249 kwa siku
Akiendelea hivi ndani ya miezi mitatu atakuwa amewapita akina ISIS Pascal Mayalla na Mshana Jr kwa comments walizokusanya kwa miaka 10
Tatizo la huyu jamaa ana comment pumba
Ee
Jamaa alianzisha thread za kutosha kwenye majukwaa ya mapenzi na sport nikawa naona kuna kichwa dizaini ya fbSecretary POMPEO simwoni siku hizi.
Ivi huo muda wakuchunguza Mambo madogo ivi unaupata wapi?Kuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi
Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa Bia yetu aisee huyu jamaa ni shida hadi saivi anawastani wa comment 10.2 kwa kila saa it means ni comment 249 kwa siku
Akiendelea hivi ndani ya miezi mitatu atakuwa amewapita akina ISIS Pascal Mayalla na Mshana Jr kwa comments walizokusanya kwa miaka 10
Tatizo la huyu jamaa ana comment pumba
Shida ipo wapi mkuu, mwache afurahie uhuru wake by the time being atachoka tuKuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi
Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa Bia yetu aisee huyu jamaa ni shida hadi saivi anawastani wa comment 10.2 kwa kila saa it means ni comment 249 kwa siku
Akiendelea hivi ndani ya miezi mitatu atakuwa amewapita akina ISIS Pascal Mayalla na Mshana Jr kwa comments walizokusanya kwa miaka 10
Tatizo la huyu jamaa ana comment pumba
Haaaa hatuwazuii ila tunawapa taarifa na jukwaa la kutambuana wafanya maduduShida ipo wapi mkuu, mwache afurahie uhuru wake by the time being atachoka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo self lockdown ,so naenjoy mitandaoIvi huo muda wakuchunguza Mambo madogo ivi unaupata wapi?
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Unajifunza ulicho soma shuleni?,uyo bia yetu hatoulizwa kwenye mitiani yako kitaifa dogo sijui tunaelewana?Nipo self lockdown ,so naenjoy mitandao
Au nikiwa lockdown nisiwashe simu?
Akili za wanafunzi ziache tuuUnajifunza ulicho soma shuleni?,uyo bia yetu hatoulizwa kwenye mitiani yako kitaifa dogo sijui tunaelewana?
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
huyo jamaa ni shida aisee
Alisha potea zamani tu.huyo jamaa ni shida aisee
Huyu jamaa alitakiwa awe kwenye top 3[emoji38]kuna hili jamaa kenny trump
huyu msela ni mkubwa tu lakini anajidai mtoto, alitusumbua sana alipojiinga humu
Huyu jamaa alitakiwa awe kwenye top 3[emoji38]
Samsung Galaxy[emoji93]
Kafunga chuo karudi kijijini kwao maana haonekani siku hizi humu[emoji38]
Kuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi
Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa Bia yetu aisee huyu jamaa ni shida hadi saivi anawastani wa comment 10.2 kwa kila saa it means ni comment 249 kwa siku
Akiendelea hivi ndani ya miezi mitatu atakuwa amewapita akina ISIS Pascal Mayalla na Mshana Jr kwa comments walizokusanya kwa miaka 10
Tatizo la huyu jamaa ana comment pumba