Kuna mamluki wameajiriwa humu?Mnautani na ajira za watu!
Kuna mamluki wameajiriwa humu?
Atakuwa kapigwa ban au kabadili IdSecretary POMPEO simwoni siku hizi.
Huwa nashangaa unakutana na mtu anakwambia hapendi ujinga wakati huo huo unamkuta anatumia Tecno SparkWengi wao wanatumia vitekino ndani ya miezi mitatu kitekino kinakuwa kimeharibika
Bahati mbaya zaidi na password wanakuwa wamezisahau
Karibu jf jukwaa huru Tz mzimamimi mgeni
Sawa rabekaLabda unayemtaja ni Joseverest, maana nae alikua balaa
Mbona mimi hujanitag?Kuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi
Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa Bia yetu aisee huyu jamaa ni shida hadi saivi anawastani wa comment 10.2 kwa kila saa it means ni comment 249 kwa siku
Akiendelea hivi ndani ya miezi mitatu atakuwa amewapita akina ISIS Pascal Mayalla na Mshana Jr kwa comments walizokusanya kwa miaka 10
Tatizo la huyu jamaa ana comment pumba
Nilikusahau broo
Tena we ndo ulimpoteza mazima... haahaa!!Alisha potea zamani tu.