JF eeeeeeeeee. Kuna watu hawajui hata hii kitu inatumiwa vipi! Husninyo huyu binti ni mzuri bana! Yaani akipita hata wewe unageuka! Ametu-discourage sana. Jamaa yangu siku za karibuni La Liga alikuwa hakosi bana. Kisa mama anataka kwenda club. Ha ha haaaaaaaaaaa kweli kupenda!
asiogope-yeye aoe tu-mimi kuna ndugu yangu wa 1970 ameoa binti wa 1992- so kwa huyo anaweza kuoa tu bila tatizo loloteJamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha
mmh! Amsubirie japo 5 yrs, binti awe na 22 njemba 40. Mmh! Kababu na kajukuu. Lol!
Lakini si ndio nyinyi Husninyo,
huwa mnasema kuwa age aint nothing katika mahusiano ya kimapenzi!!!!
kwa mtu wa 35 kuoa 17 yrs ni matatizo hayo(more than twice yunger).
Ni challenges gani wataongea ndani?...na kwanini huyo mtoto amekimbia shule?
Ina maana jamaa hadi anavutia chumbani alikuwa hana mawasiliano naye, hadi ANAKUJA kufahamu kama surprise?
Sasa na we mkuu wangu Eeka, ulishindwa kumgundua huyo binti kuwa ni kinda?...maongezi yake hukuyastukia?
Jamaa akikimbia mkuu unadakwa weye hadi uweke sawa mambo!
Mshauri amwite mahali amwambia kiuwazi kuwa ni kinyume cha sheria kuoa mtoto wa 17 , mtafungwa bure!...Kama huyo mtoto hatoelewa ni moja ya kipimo cha utoto, basi jamaa akimbie hapo!
35+ 17-= ????
wanaume bwana alikuwa anafata mnato au viziwa kama konzi????? hasira zimenijaaa
kwa mtu wa 35 kuoa 17 yrs ni matatizo hayo(more than twice yunger).
Ni challenges gani wataongea ndani?...na kwanini huyo mtoto amekimbia shule?
Ina maana jamaa hadi anavutia chumbani alikuwa hana mawasiliano naye, hadi ANAKUJA kufahamu kama surprise?
Sasa na we mkuu wangu Eeka, ulishindwa kumgundua huyo binti kuwa ni kinda?...maongezi yake hukuyastukia?
Jamaa akikimbia mkuu unadakwa weye hadi uweke sawa mambo!
Mshauri amwite mahali amwambia kiuwazi kuwa ni kinyume cha sheria kuoa mtoto wa 17 , mtafungwa bure!...Kama huyo mtoto hatoelewa ni moja ya kipimo cha utoto, basi jamaa akimbie hapo!
Aombe uchumba alafu wasubirie mwakani au hata minne mitano mbeleni kufunga ndoa kama tatizo ni miaka tu!!Maana kama anampenda kweli sidhani kama hilo litashindikana!!
Ila kama nia yake ilikua kumchezea mtoto wa watu aachane nae!!Aanze kwa kuhakikisha mahusiano ya chumbani anasitisha asap....alafu avumilie muda kidogo upite ahakikishe binti
hajaambulia ujauzito kama walikua
haazingatii kinga.Baada ya hapo aanze vimbwanga vya hapa na pale ili binti ndo amuache yeye kumuepushia mtoto wa watu maumivu kwa kiasi flani!!
Next time asiingie tu kichwa kichwa....atanyea debe!!!
Jamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha
35+ 17-= ????
wanaume bwana alikuwa anafata mnato au viziwa kama konzi????? hasira zimenijaaa