Aombe uchumba alafu wasubirie mwakani au hata minne mitano mbeleni kufunga ndoa kama tatizo ni miaka tu!!Maana kama anampenda kweli sidhani kama hilo litashindikana!!
Ila kama nia yake ilikua kumchezea mtoto wa watu aachane nae!!Aanze kwa kuhakikisha mahusiano ya chumbani anasitisha asap....alafu avumilie muda kidogo upite ahakikishe binti
hajaambulia ujauzito kama walikua
haazingatii kinga.Baada ya hapo aanze vimbwanga vya hapa na pale ili binti ndo amuache yeye kumuepushia mtoto wa watu maumivu kwa kiasi flani!!
Next time asiingie tu kichwa kichwa....atanyea debe!!!
hii technique hata mimi imeishanisaidia sana kuwamwaga mademu kadhaa bila misukosuko mingi..
jamani ushauri huu wa lizzy uzingatiwe tafadhari, ukimchoka demu usimwache bila kumchokoza kwanza. mfanyie vituko vya makusudi na ujifanye huambiliki hata kwa kikombe cha babu hadi mwenyewe aseme basi, moyoni mwake atajisikia amani akiona kuwa yeye ndiye kakupiga chini kumbe we ndio hivyo ulishammwaga zamaniiiiiii
waacheni wawe wanajifariji na tu-feelings kama huto, after all ulishajifaidia utamu wake so hakuna kinachoharibika hapo. inasaidia sana kuwaondolea maumivu, si mnajua tena jamani wanawake waliumbwa kama chakula yetu?