we lizzy, usidanganye watoto wanaopita hapa jamvini! mbona kuna wanaotumiwa kwa kuwa tu wameshindwa kusema no mbele ya watu amabao hata hawawajui majina. hujui mwanaume anaweza kuwa na idadi yoyote ya wanawake kadiri ya mahitaji yake? mwanamke uwezo huo atautoa wapi?
anyway, mkulu alisema ili ule nawe lazima nawe uliwe, so, na wewe umesimamia kanuni hii? mambo ya wakwere waachie wenyewe bwana we hutayaweza!
Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!
Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!
Hapo kwenye nyekundu una uhakika na unachokiongea mkuu? Ni sheria gani inayokataza kuoa binti wa miaka 17?kwa mtu wa 35 kuoa 17 yrs ni matatizo hayo(more than twice yunger).
Ni challenges gani wataongea ndani?...na kwanini huyo mtoto amekimbia shule?
Ina maana jamaa hadi anavutia chumbani alikuwa hana mawasiliano naye, hadi ANAKUJA kufahamu kama surprise?
Sasa na we mkuu wangu Eeka, ulishindwa kumgundua huyo binti kuwa ni kinda?...maongezi yake hukuyastukia?
Jamaa akikimbia mkuu unadakwa weye hadi uweke sawa mambo!
Mshauri amwite mahali amwambia kiuwazi kuwa ni kinyume cha sheria kuoa mtoto wa 17 , mtafungwa bure!...Kama huyo mtoto hatoelewa ni moja ya kipimo cha utoto, basi jamaa akimbie hapo!
mwenzangu!!! wengine hapo mwaka mmoja mbele tuHapo kwenye nyekundu una uhakika na unachokiongea mkuu? Ni sheria gani inayokataza kuoa binti wa miaka 17?
Umeona eeh Gaga. Yaani watu tunakurupuka tu saa nyingine.mwenzangu!!! wengine hapo mwaka mmoja mbele tu
Jamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha