Ni miaka 17 tuuu!


Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!
 
Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!

Kutumiana! Hakuna kumtumia mwenzako! Yaani hata kadi ya valentine kumtumia sio vizuri?
 
Sasa asaidiwe nini? kisha mchezea mtoto wa watu amuoe. Na kama hasomi hiyo age anaweza kumuoa kisheria.
 
Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!

Haya bwana, naona wewe uko upande wa wakwere! nitajitahidi na mimi kuwaruhusu wawe wananitumia japo kidogo kwani in most cases mimi huwa nawatumia na asiyetaka kutumiwa namwadhibu na kummwaga papo hapo!

siku moja niliorodhesha majina ya ma-she niliokwisha watumia kwenye karatasi ila wengine sikuweza kukumbuka majina yao, nikaweka tu desh desh, sasa niliyekuwa namtumia siku hiyo akaiona hiyo karatasi kabatini chumbani kwangu ikiwa na jina lake mwishoni, akaniuliza ni akina nani wale nikamjibu kuwa ni ma-she nilokwishatumia, akajifanya kukasirika akitaka nimbembeleze! badala yake aliishia kuambulia makofi na nikamwambia lazima nimtumie siku hiyo halafu aende moja kwa moja asirudi tena kwangu na akitaka kesho aje mida ya jioni atanikuta nimeishadaka mwingine natumia, so asi-disturb kwa usalama wake!

loh, alivimba sana kwa makofi yale na alilia sana hadi nikamhurumia mtoto yule wa kichaga. nikamuuliza kama anapenda kuendelea kutumiwa na mimi, akasema bado anapenda, so nikamwambia ok, tukaendelea na sasa tuna baby boy about one year old!

kwa kweli nina ka-tabia kabaya sana kwenye malovee hata sijui nilikatoa wapi??
 
Mikuku hii ya kizungu siku hizi mtoto wa miaka kumi utafikiri ana miaka 16
 
Hapo kwenye nyekundu una uhakika na unachokiongea mkuu? Ni sheria gani inayokataza kuoa binti wa miaka 17?
 

kwan huyo jamaa anamuogopa toto? Ampe 2 live kuwa atamsubiri akamilishe miaka hiyo 18, dah ila waambieni na hao kaka zenu waache tabia ya kupenda penda, watakuka kuitwa wabakaji! Shaur zenu, mi cpo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…