Ondoa dar bwana,dar wengi wakuja tuuuuuuu......Kilimanjaro na Arusha kuna totoz za ukweeh kinomaaaaa.
Masharti ya kuoa manyara ni rahisi sana!lkn yanaweza kuwa magum!kwani ni lazima uwe mrefu(kimo) hawataki mbegu fupi@Leonard
Manyara sawa nakubali!umechemka kwa kutoiweka Singida!huko kuna totoz za ukweli,'potabo',na zaidi ya 90% ni weupe(kwa asili)sasa kagera umeiweka kwa kigezo kipi?
lazima nioe Manyara!!
Me list yangu ni hii,nawe njoo na yako.
1]manyara
2]tanga
3]kagera
4]mwanza
5]arusha
6]mara
7]tabora
8]dodoma
9]iringa
10]ruvuma
11]dar es salaam
12]mtwara
13]mbeya
Masharti ya kuoa manyara ni rahisi sana!lkn yanaweza kuwa magum!kwani ni lazima uwe mrefu(kimo) hawataki mbegu fupi@Leonard
Kwalaang' morii..Karibu sana!! Nina wadogo wengii
@ Tedo, mkuu ni IRAQW siyo IRAQ.
kuna mtoto lazima nimuwowe..saitaaaaaaaa