Ni Mikutano ya Hadhara au Mikutano ya Wanachama wa CHADEMA? CHADEMA wamefeli wapi?

Ni Mikutano ya Hadhara au Mikutano ya Wanachama wa CHADEMA? CHADEMA wamefeli wapi?

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
 
Kama kwenye mkutano wa uchaguzi mkuu ambao mgombea na mgeni mkuu wa mkutano huo alikuwa mbelgiji Lisu lakini watu wahawakuhudhuria kumuona, vipi mikutano hii ambayo inasemekana wageni wakuu wa mikutano hiyo ni walevi waliokuwa wamelewa chakali huko Mwanza na Musoma?

Siasa za Tanzania zili turn around mwaka 2015. Asilimia kubwa ya vijana na wazee hawaamini tena katika siasa wala wanasiasa.

Kwa sasa siasa hasa za wapinzani zimebakia mitandaoni na hii ni kwa sababu wengi wanalipwa kwa kuandika thread zenye kupotosha umma wa watanzania.
images (7).jpeg
 
Countrywide wewe ni chawa jike ,kutwa nzima unashinda Jf,watafutie wanao maisha wasije kukulaumu
Hao ccm na chadema maisha yao yako safi unajipotezea muda tu,kwa siku nyuzi kumi ni ujinga
Toka mikutano ianze jamaa hatulii, kama Chadema wamekataliwa so ndio furaha yake
Mbona anahangaika kama amekalia kitu kigumu,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
Wewe ni juu yako uchague unapenda kipi iwe ya wanachama au ya hadhara,kwani kote huko chama chako hakiwezi,ila unachojaribu kukipangia kina uwezo wa kutawala kote kote😂
 
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
Naona mnaenjoy kuliko ata walipa kodi
Mnajenga hosptal madawa hakuna
Mnatujengea shule lakin walimu hatuna
Kudanga ndo kimbilio kubwa la wadada zetu
Ndo mtaji asokopeshwa hakatwi tozo wala kodi

Hivi mna akili nyinyi mnashauri tujiajiri
Wakati nyinyi wenyewe mpka sasa umeajiliwa
Acheni nafasi zenu na nyinyi mkajiajiri
Hapo ndipo tutakapo amini kweli nyie washauri wazuri
Kati ya mtawala na mpinzani
hapa muoga nani

Mtawala aliekataza mikutano isifanyike
Au mpinzani asiefanya na anajua ni haki yake
Mmh hii ni sauti ya watu
Na hili giza tunaenda wapi
Tunafanya nini
Tutaishi vipi
Ata mwanga hauonekani
Mmmh eeh mmmh eeeh mmmh eeh

Heheh bi mkubwa anapambana sana
Pengine hofu ni kuhusu swali la msingi
Kwenye vijiwe vyetu
Je vita yake na anaowaamin ni sawa
Isije ikawa ni mbinu tofauti
Heh tumerudi kule kule
Maji ya mgao umeme wa mgao
Maji hayatoki bili zinatoka

Mmh police hongereni kwa jitihada nyingi
Amsemi kwa ubaya lakini pia hamsingiziwi
Acha iendelee kunyesha tuone panapovuja
Mmh eeh mmh eeh mmh eeh mmh eeh
 
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
Tutaelewana tu kadri siku zinavoenda. Sa ivi Ni Kama Mpira umerudi Kati. Tunaanzia Tena.

Si unajua mwendazake alivuruga Sana upinzani mpaka.wananchi wakakata tamaa Kufatilia shughuli za kisiasa
 
Lyrics
Sauti Ya Watu - Nay Wa Mitego
...
Hii sio sauti ya kiharakati
Wala ukombozi wa musa na fimbo yake
Bali haya ni maumivu ya mnyonge
Anaewakilisha walala hoi wenzake
Kwenye kinywa kilichokosa pakuseme hisia zake
Mmmh eee mmh eee mmm eeeh

Rais
Natanguliza samahni kwa wale ntakao wakwaza
Yamenifika hapa nimeshindwa kunyamaza
Wapo wengi kama mimi wenye sauti kama mimi
Sijui ni ubinafsi hawasemi kama mimi

Anko alisema kwamba tupo uchumi wakati
Haya tudanganyeni tena tupo uchumi wangapi
Wapigaji walotumbuliwa ndo wamerudi mzigoni

Kamladi kwa million mnataja mabillion
Hamna huruma nyinyi na sisi masikini
Hivi hiyo bajet si mngeweka hosptalin

Na huyu ndo yule binti aliemaliza chuo bila uwakika wa kazi alosomea huko chuo
Hajui atafanya nini amebaki na vyeti vyake
Anajuta alisoma nini si angejiuza ka wenzake
Panya road jina la pili la kijana asiekua na ajira
Na risasi ndo hukumu inayomfika ata asie na hatia
Huna afadhali wa maisha vyuma vimezidi kukaza

Mambo yanaharibika na wapinzani wamenyamaza
Kama ulimpenda baba huwezi muelewa mama
Na kama hukumpenda baba bado utamchukia mama
Yani kumpenda mama na kumchukia baba
Ni sawa kuipenda nyama alafu hupendi mchuzi wake
Mmmh eeeh

Mmh hii ni sauti ya watu
Na hilii giza tunaenda wapi
Tunafanya nini
Tutaishi vipi
Ata mwanga hauonekani
Mmmh eeh mmh eeh mmmh eeh

Ukiona mtoto halii njaa na nyumbani hakuna chakula
We mchunguze vizuri kuna sehem anakula
Hii ni kweli mama hali mbaya sio tandale sio masaki
Kilio chakila mtu pesa hakuna imefichwa wapi
Sikuhizi mpka vigenge vya nyanya TRA wanataka kodi
Masikin amejichanga vipesa bank anakatwa tozo

Hivyo V8 mnavyonunua si hela zetu za kodi
Naona mnaenjoy kuliko ata walipa kodi
Mnajenga hosptal madawa hakuna
Mnatujengea shule lakin walimu hatuna
Kudanga ndo kimbilio kubwa la wadada zetu
Ndo mtaji asokopeshwa hakatwi tozo wala kodi

Hivi mna akili nyinyi mnashauri tujiajiri
Wakati nyinyi wenyewe mpka sasa umeajiliwa
Acheni nafasi zenu na nyinyi mkajiajiri
Hapo ndipo tutakapo amini kweli nyie washauri wazuri
Kati ya mtawala na mpinzani
hapa muoga nani
Mtawala aliekataza mikutano isifanyike
Au mpinzani asiefanya na anajua ni haki yake
Mmh hii ni sauti ya watu
Na hili giza tunaenda wapi
Tunafanya nini
Tutaishi vipi
Ata mwanga hauonekani
Mmmh eeh mmmh eeeh mmmh eeh

Heheh bi mkubwa anapambana sana
Pengine hofu ni kuhusu swali la msingi
Kwenye vijiwe vyetu
Je vita yake na anaowaamin ni sawa
Isije ikawa ni mbinu tofauti
Heh tumerudi kule kule
Maji ya mgao umeme wa mgao
Maji hayatoki bili zinatoka

Mmh police hongereni kwa jitihada nyingi
Amsemi kwa ubaya lakini pia hamsingiziwi
Acha iendelee kunyesha tuone panapovuja
Mmh eeh mmh eeh mmh eeh mmh eeh
 
Upuuzi mkubwa kisa ni u binafsi wako! Hata kama ni kweli watu hawajafika kwa wingi ni woga wa watu kuamini mikutano imeruhusiwa baada ya katazo haramu. Hata akina Mobutu na Hitler walikuwa na wafuasi, na Magufuli naye hakosi wafuasi!
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
una
 
Kubwa jinga hili,unachoandika hakieleweki ,eti kwenye mkutano wa Mwanza watu hawakujaa!
Kwenye dunia hii ya sayansi na technolojia unamdanganya nani?
Labda umdanganye Bibi yako.
 
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.

CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.

Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.

Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.

Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.

Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
Mzee wa legacy unateseka ukiwa wap? Chato au kolomije?
 
Upuuzi mkubwa kisa ni u binafsi wako! Hata kama ni kweli watu hawajafika kwa wingi ni woga wa watu kuamini mikutano imeruhusiwa baada ya katazo haramu. Hata akina Mobutu na Hitler walikuwa na wafuasi, na Magufuli naye hakosi wafuasi!

una
Sijakuelewa kabisa
 
Back
Top Bottom