Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ukweli usiofichika mikutano ya CHADEMA imekosa mvuto. Watu walikuwa wachache sehemu zote walizofanya. Na ikageuka kuwa mikutano ya wanachadema. Haina tofauti na vikao vya ndani vya chama.
CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.
Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.
Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.
Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.
Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.
CHADEMA inapaswa kujua sababu ya yote hayo ni nini, sikubaliani na wanaosema eti mwenyekiti Mbowe ndio chanzo. Chama kikifeli lawama zinapaswa ziende kwa viongozi wote.
Tuseme Mbowe hakuwa amejiandaa na hakuwa na sera ya kuvutia watu, je ni yupi Kati ya viongozi wa chadema mwenye sera? Viongozi wote wameshindwa kudeliver, hivyo lawama zisiende kwa mwenyekiti pekee.
Mikutano kujaa Wanachama wa CHADEMA peke yao ni dalili mbaya.
Nitoe ushauri kwa chadema, ushauri huu hata mbowe anaujua na ndio maana alisema amechagua maridhiano badala ya maandamano kwa kuwa anawajua watanzania hawawezi kufanya maandamano. Yalishaitishwa maandamano mara nyingi tu Ila yalishindwa kufanyika.
Ushauri:
Chadema iachane na mikutano ya hadhara, kwa kuwa watanzania hawapendi hii kitu. Wapo busy na maisha. Huko kwingine watapata aibu kubwa mno zaidi ya waliyopata Mwanza na musoma.