Ni Mikutano ya Hadhara au Mikutano ya Wanachama wa CHADEMA? CHADEMA wamefeli wapi?


Angalia usichanganyikiwe. CHADEMA wanafanya siasa wewe unaleta maneno.
 
Wengi tuna hamu ya kusikia Sera lakini bado hawa jamaa wamejaza hotuba za kulaumu,kutukana na kutengeneza chuki.
Kama ilivyo MITANDAONI agenda kubwa ni matusi na kujimwambafai oooh! Hawatuwezi walitushindwa wanatuogopa alafu mwingine anasema walituuwa walitunyanyasa walituweka ndani NK

Muhimu hapa tuleteeni hoja ili tukiwachagua mtusaidie kuondoa shida za Wananchi ikiwemo kuondoa chuki baina yetu ili tuwe kitu kimoja katika UJENZI wa Taifa.
 
Unajaribu kuvunja in mioyo ya wanamageuzi wa maeneo mengine, lakini nakuhakikishia tayari umefeli.
 
Tatizo wana ajenda ya Katiba ambayo sio public interest

Issue zingine zote Mama anaupiga mwingi
 
Kuna chuki hii nchi?

Njoo na mifano hai kwamba hilo ni tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…