Pole, jiandae kumeza dawa sahihi zingine, zinazoweza kutibu typhoidNi doctor
Google ingekua inaweza kutibu, ingekua bata sana.Uses
Alphaclav Duo Forte Tablet is used for the treatment, control, prevention, & improvement of the following diseases, conditions and symptoms
Typhoid inaweza kusababisha hiyo hali ya kumiss menstrual period.Asante, je hizi zitakua Ndio chanzo ??? Na ni dawa za nini?
Wee Ni mzinzi ogopa hiv na CYO mimba
Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo? Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a nijulishe mana sina amani, huwa napata dalili zote za P lakini wapi haianzi na imechelewa wiki ya pili sasa [emoji22]View attachment 1717493
Acha kuuza mechi.Nna wasi wasi sijapata siku zangu nimechelewa wiki ya pili sasa mpaka naanza kuhisi nna mimba lakini pia nahisi ni hizi dawa je inawezekana ni chanzo? Nlijiskia kuumwa nlipoenda kupima nkaambiwa mma typhoid laja nlipoanza hii dozi ni siku ambazo mzunguko wangu unaanza. Mwenye kufahamu a nijulishe mana sina amani, huwa napata dalili zote za P lakini wapi haianzi na imechelewa wiki ya pili sasa π’View attachment 1717493