Ni mimba au wasiwasi wangu tu?

Ni mimba au wasiwasi wangu tu?

Choice ya dawa huwa ni zaidi ya moja ndio.

Lakini swali linakuja unaweza tibu minyoo kwa Amoxicillin ??

Mbona sasa huku siko kabisa mheshimiwa. Ni nje ya reli.

Nilichojaribu kueleza ni kuwa guidelines/advice zipo. Kutokutajwa dawa fulani kwenye guidline haimaanishi haitibu. Unatakiwa kuifuata guidline huku ukitafasiri hali ya sehemu uliyopo pamoja na scientific evidences.

Ukienda kwenye literature, dawa inahusika na somo hilo ila daktari husika anaweza kuwa na sababu kwa nini ameitumia. Hivyo si kwamba haitibu.

Watu wanatibu mpaka off-lebal pale ambapo kuna scientific evidence.
 
Mbona sasa huku siko kabisa mheshimiwa. Ni nje ya reli...
Basi nikwambie hivi hizo dawa hata mimi nimekunywa na hazikusaidia kitu.

Mimi pia muhanga, sasa sijui utaendelea kubisha ?
 
Basi nikwambie hivi hizo dawa hata mimi nimekunywa na hazikusaidia kitu.
Mimi pia muhanga, sasa sijui utaendelea kubisha ?

Sasa kwa nini ulikunywa?
Kama tangu mwanzo ulijua haitibu.
Wewe kutumia na kutokukusaidia si kwamba haitibu.

Ni muhimu kuelewa kuwa unaweza kuwa na co-morbid issues.
Ulifanya follow up baada ya muda gani?
Kipimo kipi ulitumia?
Kuna issues nyingi za kuhusisha hapa kabla ya conclusion kubwa kama hiyo tuwe wanasayansi.


Pia setting yako si ya mhusika alipo.

Na tuelewe kuwa hapa TUNAELEWESHANA si KUBISHANA.
 
heee, we vipi..! badala ya kufurahia kuepukana na huo usumbufu wa kutokwa damu kila mwezi na kupata hasara ya kununua pedi, we unalilia hiyo hali...!!
wenzako wanaigombania hiyo bahati uliyoipata wewe.
Hahahhaha kweli ww ni kitombi... malizia se
 
Jibu unapaswa kuwa nalo, jiulize kama umepigwa kavu siku za karibuni
 
Back
Top Bottom