Blagoveshchensk
Member
- Feb 25, 2018
- 90
- 76
Jana sikuwa na access point of reply,posti posting and commenting,BlagoveshchenskNew Member
#1
1 minute ago
Joined: Yesterday
UMEJIUNGA JANA HALAFU UNASEMA LEO?? AU YESTERDAY NI LEO KWA KISWAHILI??
sawa mkuu hamna tabu... KARIBU JUKWAA LA SIASAJana sikuwa na access point of reply,posti posting and commenting,
That's y
Na ndo lengo langu kubwa uko jukwaa la siasasawa mkuu hamna tabu... KARIBU JUKWAA LA SIASA
Umejiunga tu Jf ukajua na namna ya kubold[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hello habari za wanajamii
Kwa jina naitwa Blagoveshchensk
Ni mtanzania niishiye Ukraine , Dnipropetrovisk
Mama yangu mchaga Baba m-ukraine
Nimekaa Tanzania miaka 18
Nimesoma Tanganyika International Schools,
Nadhani Paul (P-funk)fu Mzungu kichaa mnanikumbuka Blagoveshchensk
Mi nimebobea katika siasa na uchambuzi wa siasa ndo maana nimeamua nijiunge Kwa jamiiforums leo
Thanx
Kwani bolding si inaonekana?? Mi nimetumia pc kabla hazijaja Tanzania, n member wa forums mbali mbali duniani ambazo jamiforums ilikopi mfumo wake uko uko, hakuna tofauti ya muundo na operations zake ni sawaUmejiunga tu Jf ukajua na namna ya kubold[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alafu kajiunga tu na kujua namna ya kubold.BlagoveshchenskNew Member
#1
1 minute ago
Joined: Yesterday
UMEJIUNGA JANA HALAFU UNASEMA LEO?? AU YESTERDAY NI LEO KWA KISWAHILI??
AsanteKaribu Jf
AISEEAlafu kajiunga tu na kujua namna ya kubold.
Kwani bolding si inaonekana?? Mi nimetumia pc kabla hazijaja Tanzania, n member wa forums mbali mbali duniani ambazo jamiforums ilikopi mfumo wake uko uko, hakuna tofauti ya muundo na operations zake ni sawa
Sasa bolding unadhani ni jambo la kushangaza??
Tanzania bado sana
Usiwe mshamba inaonekana we umejiunga forum moja Tu Jamiiforums ambapo unasahau kwamba si lazima uwe member wa jamii forums ndo ujue kubold hahaha dah Tz tuko nyuma sanaAlafu kajiunga tu na kujua namna ya kubold.
Nimeanza kutumia computer mwaka 1986 nikiwa shuleni Martin cock hedemora swedenHAPO KWENYE RED... ILIKUWA MWAKA GANI HIYO MKUU??
KWA HIYO KIPINDI HIKO PC HAZIKUWEPO BONGONimeanza kutumia computer mwaka 1986 nikiwa shuleni Martin cock hedemora sweden
Hapana ssias zangu siyo za matusi siyo za kuchafuana ni za kistaarabuHaya karibu jamvini! Tueleze siasi ulizobebea ndio kama zile za mange au zako zikoje?
Bongo PC imekwenda mwaka 1989 wakati wa kuimarisha shirika letu la TTCL lilikiwa ndani ya Board ya mawasiliano ya Africa masharikKWA HIYO KIPINDI HIKO PC HAZIKUWEPO BONGO
SAWASAWA MKUU...Bongo PC imekwenda mwaka 1989 wakati wa kuimarisha shirika letu la TTCL lilikiwa ndani ya Board ya mawasiliano ya Africa masharik