Blagoveshchensk
Member
- Feb 25, 2018
- 90
- 76
Hello habari za wanajamii
Kwa jina naitwa Blagoveshchensk
Ni mtanzania niishiye Ukraine , Dnipropetrovisk
Mama yangu mchaga Baba m-ukraine
Nimekaa Tanzania miaka 18
Nimesoma Tanganyika International Schools,
Nadhani Paul (P-funk)fu Mzungu kichaa mnanikumbuka Blagoveshchensk
Mi nimebobea katika siasa na uchambuzi wa siasa ndo maana nimeamua nijiunge Kwa jamiiforums leo
Thanx
Kwa jina naitwa Blagoveshchensk
Ni mtanzania niishiye Ukraine , Dnipropetrovisk
Mama yangu mchaga Baba m-ukraine
Nimekaa Tanzania miaka 18
Nimesoma Tanganyika International Schools,
Nadhani Paul (P-funk)fu Mzungu kichaa mnanikumbuka Blagoveshchensk
Mi nimebobea katika siasa na uchambuzi wa siasa ndo maana nimeamua nijiunge Kwa jamiiforums leo
Thanx