Ni Mimi Blagoveshchensk nikaribishe

Karibu, japo umepazoea kuliko sie wenyeji, yaani kama vile umeingia na silaha, unatutisha mkuu, wasiojulikana wapo humu sijui ni ndugu zako!
 
Umetumwa na mange au???tujue mapema kama tunadeal na mbumbumbu au mtu mwenye akili timamu
 
Karibu, japo umepazoea kuliko sie wenyeji, yaani kama vile umeingia na silaha, unatutisha mkuu, wasiojulikana wapo humu sijui ni ndugu zako!
Nimepazoea Kwa kuwa Mimi ni member wa forums nyingi, najua debates najua mambo mengi mno juu za forums kwahiyo sioni kipya nilokuja nacho
 
Karibu, japo umepazoea kuliko sie wenyeji, yaani kama vile umeingia na silaha, unatutisha mkuu, wasiojulikana wapo humu sijui ni ndugu zako!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Isiwe swagga tu dogo.
 
Tutakutana huko kwenye siasa.

Hot topics kwa sasa ni majina ya Musiba, Hukumu ya Sugu na Rais kuamuru wapiga kura wake wasivunjiwe nyumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…