Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Kuna hali hua inanitokea na hii ni tangu nakua nimegundua hili,
Inapotokea ninapo onana na jinsia ya kike kwa mara ya kwanza alafu akanivutia sana, sasa kadri ninavyozidi kumuona na hata pengine kumzoea anazidi kunibadilkia hadi mwisho wa siku namuona wa kawaida sanaa,
Sasa na kwa wale ambao nawaona wabaya au wa kawaida kwa mara ya kwanza hunibadilikia na kua wazuri sana kadri tunavyozidi kuonana au kuzoeana.
Pia vivyo hivyo kwa wale ninaowatongoza ikiwa hatujazoeana ni asilimia tatu ya mia wanaoonyesha ushirikiano kwa wakati huo, sasa katika wale ambao hunikataa na wengine dharau kibao na kuniringishia mabwana zao ni haohao wanakuja kunipenda tena sana baadae kadri wanavyonizoea zaidi.
Hata maeneo ya kazini hutokea wanawake wakiniona kwa mara ya kwanza hawanichangamkii hata wengine salam tu ni shida lkn kadri siku zinavyoenda wananizoea sana kupita kiasi,
Sasa mimi nashindwa kuelewa hii hali.
Inapotokea ninapo onana na jinsia ya kike kwa mara ya kwanza alafu akanivutia sana, sasa kadri ninavyozidi kumuona na hata pengine kumzoea anazidi kunibadilkia hadi mwisho wa siku namuona wa kawaida sanaa,
Sasa na kwa wale ambao nawaona wabaya au wa kawaida kwa mara ya kwanza hunibadilikia na kua wazuri sana kadri tunavyozidi kuonana au kuzoeana.
Pia vivyo hivyo kwa wale ninaowatongoza ikiwa hatujazoeana ni asilimia tatu ya mia wanaoonyesha ushirikiano kwa wakati huo, sasa katika wale ambao hunikataa na wengine dharau kibao na kuniringishia mabwana zao ni haohao wanakuja kunipenda tena sana baadae kadri wanavyonizoea zaidi.
Hata maeneo ya kazini hutokea wanawake wakiniona kwa mara ya kwanza hawanichangamkii hata wengine salam tu ni shida lkn kadri siku zinavyoenda wananizoea sana kupita kiasi,
Sasa mimi nashindwa kuelewa hii hali.